Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Nimefuatilia yanayoendelea hapo Arusha mkutano wa EL. kweli wengi hawachangamkii hotuba. Mwishono baada ya EL kumaliza inabidi kina Gwajima na Ngombale waokoe jahazi. Angalau jukwaa kuu linaitikia kidogo. Ni nje ya mategemeo yangu pamoja na mabilioni yote yaliyotumika kuandaa. Kazi ipo.