Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda

Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda

Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Ni jambo jema sana, mwenzio yakimpata magumu kumfariji. Japo mtakuwa mnaonyesha ubaguzi,kwa kiasi fulani, mbona mlitelekeza Mh. Chongolo maana alitokea hukohuko! Anyway yamepita, kila la heri
 
Mtu anaposhushwa cheo mapokezi ya "Kishujaa" ni kumpaka mazutu kwa mgongo wa chupa tu.

Na yeye alivyo Fala atakenua tu.
 
Arusha
####
Mpokeeni kwa kishindo, RC MPYA, adha zenu za muda mrefu zinakwenda kwisha na kuwa historia, za ngonjera changanyeni na kwenu,
"Arusha iwachane na uanaharakati wa kijinga iende kwenye maendeleo yanayofanania jiji la Arusha "
Arusha ni mkoa, yeye hakuchaguliwa kuwa mkuu wa wilaya. Elimu, elimu, elimu!
 
Ni lazima kanda ya kaskazini isimame na kutetemeka katika mapokezi mazito ya Mwamba Mwenyewe na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Unayo habari kuwa Dar amefunguliwa kesi ya kutishia kuua mfanyabiashara aitwaye Salah?
Na safari hii hakuna kumaliza kesi nje ya mahakama ni kwa pilato tuu dadeki!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Weka huo ushahidi wa Deni la Trilioni 90.au ndio umeshaanza kutetemeka na kuchanganyikiwa kabla mwamba mwenyewe hajakanyaga katika ardhi ya Aro.wewe kama ulikuwa unavuta mibangi kama kichaa ni bora ukaacha mapemaaa sana au uhame kabisa mkoa ,maana kwa sasa wavuta Bangi mwisho wao umefika.
Hizo habari za deni la taifa utazijulia wapi wakati unafatilia tuu habari za kupongeza na kusifia pekee!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Upumbavu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Jitekenye mwenyewe Bashite hakubaliki hata na wazazi wake
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
well plan wanainchi wa Arusha kumpokea kiongozi wenu...

akihitimisha kazi maalumu Arusha, kisha atahamishiwa Mwanza na hatiamae baadae katika jiji la Dar Es Salaam...

viva RC, comrade Paul Christian Makonda viva....
 
Huwa nikionaga hizi nyuzi zako nacheka sana... hizi akili ndo ziliitawala TZ kuanzia 2015 hadi 2021!! Daah hii nchi kichwa cha mwendawazimu!!
 
Amepiga ziara mikoa 20 kafuja kodi za wananchi kaishia kutupiliwa kuwa RC.

Yaani Arusha wampokee zero brain kishujaa??

Ushujaa gani aliofanya hadi sasa?

Au kuua na kuteka watu enzi zile ndio ushujaa.
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
EWE KIJANA WA HO... USIYEJITAMBUA, NINANI KAKUROGA??
MABADILIKO YALIYOFANYIKA HAYANA MSINGI WOWOTE NA TIJA YA MAANA KITAIFA! WATU HAWA WATALIPWA MAMILIONI YA UHAMISHO MAPEEEMA BAADA YA HASARA ZA MABILIONI TULIYOAMBIWA NA CAG!!
TRC KADOGODA ANASIFIIIWA LKN ANAINGIZA HASARA ZA MABILIONI,HUKO ATCL NA TTCL USISEME,TULITARAJI MABADILIKO YA HARAKA NA MAKINI HUKO LAKINI AJABU WANABADILISHWA WENGIIINE KISA KUTIZAMA UCHAGUZI NA JINSI YA KUSHINDA KWAKUTUMIA MABAVU YASIYOFAA.
MSHABIKIA UJINGA UJINGA HUMRUDIA YEYE.
NILIDHANI KIPINDI CHA RAMADHANI NI WAKATI WA MATENDO MEMA SASA UNAPOTEUA MTUHUMIWA WA MAOVU YAWAZI TENA MARA NYINGI NA KUMPA UKUU HAYO NDIYO MATENDO MEMA.
NIONAVYO TAIFA LIMEKOSA UELEKEO NA VIONGOZI HAWAMWOGOPI MUUMBA!!
 
Pale mtu anayeishi kinondoni jiran na Studio kwa mashoga anapoiongelea Arusha
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
SEMA WANA CCM, EBOOOOO
 
Back
Top Bottom