Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda

Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda

Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
PROPAGANDA HIZI
 
Nchi ngumu sana,yaani licha ya kumpamba kooote kule Bwana Bashite lakini ndie anayeshikilia rekodi ya kuwa Mwenezi wa Chama aliyekalia kiti kwa siku chache🤣🤣🤣na mbwembwe zake zooote zile msafara kama wa Rais lakini hata miezi 6 hajamaliza kwenye Uenezi!!!kazi kwelikweli
 
Nchi ngumu sana,yaani licha ya kumpamba kooote kule Bwana Bashite lakini ndie anayeshikilia rekodi ya kuwa Mwenezi wa Chama aliyekalia kiti kwa siku chachena mbwembwe zake zooote zile msafara kama wa Rais lakini hata miezi 6 hajamaliza kwenye Uenezi!!!kazi kwelikweli

Lakini legacy yake itabaki na atakumbukwa kwa miaka mingi sana kwa sababu aligawa hati na kurudisha magari ya watu walioibiwa.
 
Ni lazima kanda ya kaskazini isimame na kutetemeka katika mapokezi mazito ya Mwamba Mwenyewe na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Naona mabasi yanajaa kuelekea kaskazini na sikukuu zishapita, mnawasomba wawahi kwa mapokezi na walienda kwa shughuli ya leo watabaki huko ili kufanikisha hilo, tushawashtukia.
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Kafanye kazi,Acha kutukiza watu
 
Arusha gani hiyo unazungumzia? Chunguza kwa makini watakao mpokea then piga picha. Ikifika siku ya walimu Tz nenda na hiyo picha kwenye event. Keep my words alive
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Kila jamii maboya hawakosekani, wananchi walio wengi Arusha si wajinga wa kiasi hicho hisipokuwa maboya wachache ndio watakaoifanya shughuli ya kumpokea kiongozi mwenye makandokando aina ya Makondo
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Shujaa kwa lipi?
 
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.

Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Etwege@ work
Screenshot_2023-10-16-23-18-09-160_com.twitter.android_2.jpg
 
Weka huo ushahidi wa Deni la Trilioni 90.au ndio umeshaanza kutetemeka na kuchanganyikiwa kabla mwamba mwenyewe hajakanyaga katika ardhi ya Aro.wewe kama ulikuwa unavuta mibangi kama kichaa ni bora ukaacha mapemaaa sana au uhame kabisa mkoa ,maana kwa sasa wavuta Bangi mwisho wao umefika.
1711784558665.jpg
 
Back
Top Bottom