Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,094
Umekoleza chombo nini?Arusha ni mkoa, yeye hakuchaguliwa kuwa mkuu wa wilaya. Elimu, elimu, elimu!
Umekoleza chombo nini?Arusha ni mkoa, yeye hakuchaguliwa kuwa mkuu wa wilaya. Elimu, elimu, elimu!
Muda mwalimu mzuri.Hakuna mambo ya kijinga Arusha wake raia utadhani sio watz
Tupatie tarehe mkuu, sikuhiyo rais atangaze siku ya mapumziko.Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Itakuwa umekula ile ya lengijave walahiJiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Labda wenye akili kama za kinyonyooJiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.
Barabara, maji, umeme vijijini, uchafu, stand, wamachinga lazima vyote viishe sio?Arusha
####
Mpokeeni kwa kishindo, RC MPYA, adha zenu za muda mrefu zinakwenda kwisha na kuwa historia, za ngonjera changanyeni na kwenu,
"Arusha iwachane na uanaharakati wa kijinga iende kwenye maendeleo yanayofanania jiji la Arusha "
Mama alishasema yeye hataki maneno mengi isipokuwa atatumia pen tu, kilichomuondoa kwenye unezi ni hasara aliyoitia taifa pasipo na sababu za msingi na wakimwambia atoe ushirikiano ili magari yatengenezwe anagoma na kujibu jeuri, na huko Arusha amepelekwa kwa matazamio akichemka na kuleta mizozo isiyo na maana utasikia atapangiwa kazi nyingine na hiyo ndio itakuwa by by by.well plan wanainchi wa Arusha kumpokea kiongozi wenu...
akihitimisha kazi maalumu Arusha, kisha atahamishiwa Mwanza na hatiamae baadae katika jiji la Dar Es Salaam...
viva RC, comrade Paul Christian Makonda viva....
We umesikia wapiAcha zako. Taarifa iliyopo tu ni kwamba wana arusha wamebubujikwa na machozi mengi sababu mkombozi wao Makonda anakuja.
Au nasema uongo Lucas mwashambwa
akihitimisha kazi maalumu alopangiwa kuifanya Arusha, atakwenda Mwanza, kisha Dar es Salaam na mission itakua accomplished bila mbambamba....Mama alishasema yeye hataki maneno mengi isipokuwa atatumia pen tu, kilichomuondoa kwenye unezi ni hasara aliyoitia taifa pasipo na sababu za msingi na wakimwambia atoe ushirikiano ili magari yatengenezwe anagoma na kujibu jeuri, na huko Arusha amepelekwa kwa matazamio akichemka na kuleta mizozo isiyo na maana utasikia atapangiwa kazi nyingine na hiyo ndio itakuwa by by by.
Kuiba magari ni ujingatu, anyway wacha wakomeshwe wasie mpenda kajaJiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye mitaa mbalimbali wanasema watajipanga kumpokea Makonda kuanzia Airport ili kutuma ujumbe usio tia shaka kwa mafisadi , wauza madawa ya kulevya na wezi wa magari ya Arusha kwamba mwisho wao sasa umefika.

.Hao raia sindio hao wanaojiita wadudu na kizazi ogi wanao vaa kandambili ndefu!!!.Hakuna mambo ya kijinga Arusha, wale raia utadhani sio watz
Dawa yako Lucas Ni kukupeleka uwe mtumshi wa rap P Diddy ndo Dawa yako anayo Sis hatukuwezNi lazima kanda ya kaskazini isimame na kutetemeka katika mapokezi mazito ya Mwamba Mwenyewe na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Uvccm hakuna kitu wanakosaAkili za kiccm bana. hapo ulipo Hauna umeme, Hauna Maji, Hauna hela, uko bize kuandika iujinga, . Pumbavu
Nikuulize akiwa mwenezi huko alikopokewa kwa msururu wa magari 120 sasa hivi wamenufaika na Nini??
Undezi ni ile tabia ya kuchukia Makonda sio kumpendaArusha hawana huo undezi