Arusha Technical Ccollege

Arusha Technical Ccollege

Sukari Yenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
1,698
Reaction score
1,260
Wasalaam,

Hiki ni chuo cha ufundi jijini Arusha, junction ya Moshi na Nairobi roads.

Ningependa kukifaham zaidi. Mazingira, elimu ya hapo, wafanyakaz, wanafunzi, n.k

Napendelea kufanya kazi hapo mahali lakin sipafaham vizuri. Mwenye taarifa zaidi na ufaham naomba share nami hapa.

I wsh i could be a lecturer there, but am still undecided. Help me plz.
Asanteni.
 
Wasalaam,

Hiki ni chuo cha ufundi jijini Arusha, junction ya Moshi na Nairobi roads.

Ningependa kukifaham zaidi. Mazingira
Asanteni.

Kimazingira kipo karibu na Triple A kwa upande wa magharibi...........mashariki kuna Sundowners........kusini ipo Narok.....Kaskazini kuna lodge nzuri sana inaitwa SG........kusini mashariki kuna Pin point......Big L na Picnic.....kaskazini mashariki kuna Ma....o bar........
karibu sana Technical College.........
 
Kimazingira kipo karibu na Triple A kwa upande wa magharibi...........mashariki kuna Sundowners........kusini ipo Narok.....Kaskazini kuna lodge nzuri sana inaitwa SG........kusini mashariki kuna Pin point......Big L na Picnic.....kaskazini mashariki kuna Ma....o bar........
karibu sana Technical College.........

What abt staff welfare?
 
Kimazingira kipo karibu na Triple A kwa upande wa magharibi...........mashariki kuna Sundowners........kusini ipo Narok.....Kaskazini kuna lodge nzuri sana inaitwa SG........kusini mashariki kuna Pin point......Big L na Picnic.....kaskazini mashariki kuna Ma....o bar........
karibu sana Technical College.........

Kwenda Mrina Annex sio mbali sana...au kislope
 
ni chuo kizur sana mazingira yake safi wafanyakaz wanajaliwa sana pia vifaa vya kufundishia vipo vya kutosha.pia mkuu wa chuo yupo peace sana
 
Kimazingira kipo karibu na Triple A kwa upande wa magharibi...........mashariki kuna Sundowners........kusini ipo Narok.....Kaskazini kuna lodge nzuri sana inaitwa SG........kusini mashariki kuna Pin point......Big L na Picnic.....kaskazini mashariki kuna Ma....o bar........
karibu sana Technical College.........

Upo arusha mkuu?
 
ila pale chini kuna galaxy bar umesahau kidogo pale juu kuna arusha night park( sasa hivi inaitwa.....) ukielekea sakina kuna kisima cha raha pale Mile Stone bar pale mpka mbege unapata ile fresh ukienda pale njiro kuna bugalooo ni hatari! hivi kona ya kijenge bado ipo ile HEART TO HEART night club?! Nina miez sasa sipo Arusha,wapi colobus night club(zamani mawingu club)
 
Umesahau kusini Kuna new appartement za nhc levolosi, nyumba Nzuri sana jitahidi utafute makazi pale, hakuna uswahili swahili kama sakina na sanawari.
 
ila pale chini kuna galaxy bar umesahau kidogo pale juu kuna arusha night park( sasa hivi inaitwa.....) ukielekea sakina kuna kisima cha raha pale Mile Stone bar pale mpka mbege unapata ile fresh ukienda pale njiro kuna bugalooo ni hatari! hivi kona ya kijenge bado ipo ile HEART TO HEART night club?! Nina miez sasa sipo Arusha,wapi colobus night club(zamani mawingu club)

Inaonekana ww ni chama kimoja eeeh? siku tukikutana sijui
 
Hawa jamaa vipi hawajaita watu kazini kwa wale waliopiga oral interview kwa mwenye kujua lolote please
 
Jiangalie mkuu,mazingira mazuri,wanafunzi bright,challenge za kutosha,jipange......
 
Back
Top Bottom