Vyombo vya kampeni za CCM (TRA, TAKUKURU, USALAMA, POLICE, TRAFFIC, NEC) zimeanza kazi rasmi, Bunge tayari limeshamaliza kampeni zake. Mahakama bado zipo kazini na zenyewe.
Inaonekana Ruge, atasaidia kupambana na RUSHWA iliyojaa Arusha. Kwa kuanza, tafadhali
pambana na Rushwa pale Baraza la Aridhi na Nyumba. Baraza hilo lipo eneo la majengo ya
Mkuu wa Wilaya ya Arusha. Kuna Mwenyekiti anaitwa Mdachi, anakula RUSHWA mchana kweupe.