johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Mbunge wa Arusha mh Mrisho Gambo amesema Wapinzani ni watu wa kushindwa tu tangu 1995, Wananchi wamewakataa
Gambo amesema kwa sasa Wapinzani wameomba sheria za Uchaguzi zirekebishwe tumewapa miswada wanapitia na maoni yao yataletwa bungeni
Sasa tuone baada ya kuwagaragaza vilivyo 2025 watasingizia nini tena, mimi nawashauri wakubali tu kwamba Wananchi hawawataki, amesisitiza mh Gambo
Source: Clouds TV
Gambo amesema kwa sasa Wapinzani wameomba sheria za Uchaguzi zirekebishwe tumewapa miswada wanapitia na maoni yao yataletwa bungeni
Sasa tuone baada ya kuwagaragaza vilivyo 2025 watasingizia nini tena, mimi nawashauri wakubali tu kwamba Wananchi hawawataki, amesisitiza mh Gambo
Source: Clouds TV