Arusha: TAKUKURU yakanusha kumshikilia na kumhoji Mrisho Gambo

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,758
4,305
1593524468355.png


Zaidi soma;

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ahojiwa na TAKUKURU
 
Takukuru ishapoteza uhuru sasa ipo mikononi mwa jiwe akiamka vizuri wapo salama, akiamka vibaya wamekwisha.
 
Vyombo vya kampeni za CCM (TRA, TAKUKURU, USALAMA, POLICE, TRAFFIC, NEC) zimeanza kazi rasmi, Bunge tayari limeshamaliza kampeni zake. Mahakama bado zipo kazini na zenyewe.

Cha ajabu bado CCM hawajiamini na wanaogopa.
 
Lazima wakanushe,wao Takukuru ,na Shanandiyo walimtolosha asidakwe
 
Hiyo taarifa mbona hovyo hivyo..!?
Hamna signature wala mhuri!
Yaani linaelea elea tu, hao Takukuru ueledi wao unatia shaka! Au imetengezwa mtaani..!?
 
Mnatakiwa mpost kitu chenye uhakika,mlisema kahojiwa Mara hakuhojiwa,tatizo nini.hebu fanyieni uchunguzi jambo kabla ya kupost
 
Takukuru haiko huru tena kwani hawajui mkuu ataamkaje siku inayofuata.
 
Inaonekana Ruge, atasaidia kupambana na RUSHWA iliyojaa Arusha. Kwa kuanza, tafadhali
pambana na Rushwa pale Baraza la Aridhi na Nyumba. Baraza hilo lipo eneo la majengo ya
Mkuu wa Wilaya ya Arusha. Kuna Mwenyekiti anaitwa Mdachi, anakula RUSHWA mchana kweupe.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom