rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,441
tunashukuru sana kuletewa siasa zingine za uamsho wa hali ya juu,mnakumbuka Arumeru mashariki????ule moto umehamia kwenye udiwani Sombetini,ndio hadithi za kila kona,usafiri wa kuelekea huko umekuwa mgumu,kila mtu anataka kushiriki,watu wameamka mno kiasi kwamba inatishia amani ya nchi,sisi huku tukitoka out tunaenda sombetini kwenye kampeni,yaani raha tupu,karibuni sana muone siasa za kistaarabu zinazoendeshwa na makamanda!!