safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,164
- 15,844
Hivyo hivyo ninavyomuona katika cameraUmemuonaje?
Hivyo hivyo ninavyomuona katika cameraUmemuonaje?
Nilikua najiuliza sana hili jambo!Haya ni maajabu,yaani kumbe Sabaya wa hai alikuwa anatawala na kufanya uhalifu Arusha achilia mbali eneo lake la hai🚶🚶🚶
Ruge ilikuwa amri ya mwendazakeAna pesa kuliko rugemalira?
Weka maswali alihojiwa shahidi na upande wa wakili wa Mtuhumiwa ili tujue ukweli ulivyoBaada ya kuahirishwa Jana kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Sabaya na wenzake ,kesi.hiyo imeendelea Leo Kwa mkuu wa polisi wa wilaya ya Arusha (OC CID) ASP Gwakisa Minga (45)ambaye ni shahidi wa Saba kutoa ushahidi wake.
Sabaya alitinga mahakamani hapo majira ya asubuhi chini ya ulinzi mkali wa askari magereza, akiwa na Kaunda suti ya bluu huku mkono wa kushoto akiwa na plasta ya Dripu inaloashiria kuwa alikuwa ametundikiwa chupa ya Dripu.
katika kesi hiyo namba 105 ya mwaka.huu Gwakisa ameieleza mahakama jinsi alivyompokea kituoni mlalamikaji Bakari Msangi akiwa kwenye hali mbaya ya kipigo kizito akiwa anavuja damu masikioni.
Mbele ya hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo wa mahakama ya hakimu Mkazi Arusha,Minga ambaye ni mrakibu wa jeshi la polisi alisema kuwa alimpokea Bakari Msangi February 10 mwaka huu saa sita usiku katika kituo Cha polisi akiwa na majeraha makubwa ya kipigo usoni huku damu zikimtoka masikioni.
Alidai kuwa siku ya Februari 9 mwaka huu majira ya saa sita siku alipigiwa simu na mkuu wa polisi wa wilaya ,OCD Mchunguzi akimtaka afike kituo Cha polisi haraka kwani diwani wa Sombetini Bakari Msangi alikuwa amepigwa na kuporwa.
Shahidi alidai kuwa Taarifa hiyo ilimlazimu kuwapiga simu askari wake Sajenti Onuku na Koplo Called na kuwataka wawepo kituoni hapo kwa ajili ya kuchukua maelezo ya mlalamikaji .
Alidai walimhoji Msangi kuhusu alama za kipigo usoni ,ambapo aliieleza kuwa Sabaya na vijana wake walimpiga na kumpora fedha tasilimu kiasi cha sh,390,000 .Pia alieleza kuwa wamteka na kumzungusha maeneo mbalimbali katiika jiji la Arusha na baadaye katika hotel ya Tulia iliyopo Mianzini.
Shahidi alidai kuwa alimwagiza Sajenti Onuku kuchukua maelezo ya Msangi na baadaye alimpatie fomu namba tatu ya polisi (PF3)Kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Alieleza kwamba baada ya kuandikwa maelezo kituo Cha polisi Msangi alipatiwa PF3 ambapo shahidi aliongozana naye hadi katika hospital ya Mkoa Mount Meru ambapo Msangi akitibiwa na baadaye daktari alijaza PF3.
Shahidi alidai kuwa baadaye alikabidhiwa PF3 na kuitunza eneo salama na baada ya kukamilika kwa uchunguzi aliambatanisha PF3 kwenye jalada la mlalamikaji na kulipeleka Kwa mwanasheria wa serikali.
Wakili Mwandamizi wa serikali Abdalah Chavula alimtaka Shahidi huyo kuitambua PF3 mahakamani ,ambapo shahidi aliitambua kuwa ni Mali ya jeshi la polisi na kuiomba mahakama iipokee kama kielelezo,ambapo kilipokelewa kama kielelezo namba moja.
Shahidi alidai kwamba February 12 mwaka.huu majira ya saa 10 aliongoza kikosi Cha askari wa upelelezi kwenda eneo la tukio katika duka la Shaahid Store lililokuwa limefungwa tangu siku ya tukio Februari 9 mwaka huu.
Alidai kuwa akiwa ameambatana pia na Norman Jasim muuzaji wa duka hilo alifungua duka nankuingia ndani ambapo walikuta baadhi ya bidhaa zikiwa zimevurugika huku chini ya sakafu kukiwa na matone ya damu na Maji.
Shahidi aliieleza kuwa Camera nne za CCTV zinazotumika katika duka hilo zilikuwa zimechezewa na kugeuziwa ukutani huku kamera mbilizilizobaki hazikuweza kurekodi tukio vizuri.
Alidai kuwa muuzaji wa duka hilo Norman Jasim alikagua vizuri na kugundua kuwa ndani ya duka hilo mashine mbili za EFDs pamoja na fedha za mauzo zilichukuliwa .
Sabaya unajua Ni amri ya Nani?Ruge ilikuwa amri ya mwendazake
Haya ni maajabu,yaani kumbe Sabaya wa hai alikuwa anatawala na kufanya uhalifu Arusha achilia mbali eneo lake la hai🚶🚶🚶
Aseee kama ni kweli sabaya atakua zaid ya jambaziBaada ya kuahirishwa Jana kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Sabaya na wenzake ,kesi.hiyo imeendelea Leo Kwa mkuu wa polisi wa wilaya ya Arusha (OC CID) ASP Gwakisa Minga (45)ambaye ni shahidi wa Saba kutoa ushahidi wake.
Sabaya alitinga mahakamani hapo majira ya asubuhi chini ya ulinzi mkali wa askari magereza, akiwa na Kaunda suti ya bluu huku mkono wa kushoto akiwa na plasta ya Dripu inaloashiria kuwa alikuwa ametundikiwa chupa ya Dripu.
katika kesi hiyo namba 105 ya mwaka.huu Gwakisa ameieleza mahakama jinsi alivyompokea kituoni mlalamikaji Bakari Msangi akiwa kwenye hali mbaya ya kipigo kizito akiwa anavuja damu masikioni.
Mbele ya hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo wa mahakama ya hakimu Mkazi Arusha,Minga ambaye ni mrakibu wa jeshi la polisi alisema kuwa alimpokea Bakari Msangi February 10 mwaka huu saa sita usiku katika kituo Cha polisi akiwa na majeraha makubwa ya kipigo usoni huku damu zikimtoka masikioni.
Alidai kuwa siku ya Februari 9 mwaka huu majira ya saa sita siku alipigiwa simu na mkuu wa polisi wa wilaya ,OCD Mchunguzi akimtaka afike kituo Cha polisi haraka kwani diwani wa Sombetini Bakari Msangi alikuwa amepigwa na kuporwa.
Shahidi alidai kuwa Taarifa hiyo ilimlazimu kuwapiga simu askari wake Sajenti Onuku na Koplo Called na kuwataka wawepo kituoni hapo kwa ajili ya kuchukua maelezo ya mlalamikaji .
Alidai walimhoji Msangi kuhusu alama za kipigo usoni ,ambapo aliieleza kuwa Sabaya na vijana wake walimpiga na kumpora fedha tasilimu kiasi cha sh,390,000 .Pia alieleza kuwa wamteka na kumzungusha maeneo mbalimbali katiika jiji la Arusha na baadaye katika hotel ya Tulia iliyopo Mianzini.
Shahidi alidai kuwa alimwagiza Sajenti Onuku kuchukua maelezo ya Msangi na baadaye alimpatie fomu namba tatu ya polisi (PF3)Kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Alieleza kwamba baada ya kuandikwa maelezo kituo Cha polisi Msangi alipatiwa PF3 ambapo shahidi aliongozana naye hadi katika hospital ya Mkoa Mount Meru ambapo Msangi akitibiwa na baadaye daktari alijaza PF3.
Shahidi alidai kuwa baadaye alikabidhiwa PF3 na kuitunza eneo salama na baada ya kukamilika kwa uchunguzi aliambatanisha PF3 kwenye jalada la mlalamikaji na kulipeleka Kwa mwanasheria wa serikali.
Wakili Mwandamizi wa serikali Abdalah Chavula alimtaka Shahidi huyo kuitambua PF3 mahakamani ,ambapo shahidi aliitambua kuwa ni Mali ya jeshi la polisi na kuiomba mahakama iipokee kama kielelezo,ambapo kilipokelewa kama kielelezo namba moja.
Shahidi alidai kwamba February 12 mwaka.huu majira ya saa 10 aliongoza kikosi Cha askari wa upelelezi kwenda eneo la tukio katika duka la Shaahid Store lililokuwa limefungwa tangu siku ya tukio Februari 9 mwaka huu.
Alidai kuwa akiwa ameambatana pia na Norman Jasim muuzaji wa duka hilo alifungua duka nankuingia ndani ambapo walikuta baadhi ya bidhaa zikiwa zimevurugika huku chini ya sakafu kukiwa na matone ya damu na Maji.
Shahidi aliieleza kuwa Camera nne za CCTV zinazotumika katika duka hilo zilikuwa zimechezewa na kugeuziwa ukutani huku kamera mbilizilizobaki hazikuweza kurekodi tukio vizuri.
Alidai kuwa muuzaji wa duka hilo Norman Jasim alikagua vizuri na kugundua kuwa ndani ya duka hilo mashine mbili za EFDs pamoja na fedha za mauzo zilichukuliwa .
Hivi bado hajapata basha gerezani muda wote huu??Aseee kama ni kweli sabaya atakua zaid ya jambazi
jamaniHivi bado hajapata basha gerezani muda wote huu??
Huyo mtoto wa mama mwenye shati ya blue tamaa imemponza,ndio alikua mshika pesa zote za uwiziBaada ya kuahirishwa Jana kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Sabaya na wenzake ,kesi.hiyo imeendelea Leo Kwa mkuu wa polisi wa wilaya ya Arusha (OC CID) ASP Gwakisa Minga (45)ambaye ni shahidi wa Saba kutoa ushahidi wake.
Sabaya alitinga mahakamani hapo majira ya asubuhi chini ya ulinzi mkali wa askari magereza, akiwa na Kaunda suti ya bluu huku mkono wa kushoto akiwa na plasta ya Dripu inaloashiria kuwa alikuwa ametundikiwa chupa ya Dripu.
katika kesi hiyo namba 105 ya mwaka.huu Gwakisa ameieleza mahakama jinsi alivyompokea kituoni mlalamikaji Bakari Msangi akiwa kwenye hali mbaya ya kipigo kizito akiwa anavuja damu masikioni.
Mbele ya hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo wa mahakama ya hakimu Mkazi Arusha,Minga ambaye ni mrakibu wa jeshi la polisi alisema kuwa alimpokea Bakari Msangi February 10 mwaka huu saa sita usiku katika kituo Cha polisi akiwa na majeraha makubwa ya kipigo usoni huku damu zikimtoka masikioni.
Alidai kuwa siku ya Februari 9 mwaka huu majira ya saa sita siku alipigiwa simu na mkuu wa polisi wa wilaya ,OCD Mchunguzi akimtaka afike kituo Cha polisi haraka kwani diwani wa Sombetini Bakari Msangi alikuwa amepigwa na kuporwa.
Shahidi alidai kuwa Taarifa hiyo ilimlazimu kuwapiga simu askari wake Sajenti Onuku na Koplo Called na kuwataka wawepo kituoni hapo kwa ajili ya kuchukua maelezo ya mlalamikaji .
Alidai walimhoji Msangi kuhusu alama za kipigo usoni ,ambapo aliieleza kuwa Sabaya na vijana wake walimpiga na kumpora fedha tasilimu kiasi cha sh,390,000 .Pia alieleza kuwa wamteka na kumzungusha maeneo mbalimbali katiika jiji la Arusha na baadaye katika hotel ya Tulia iliyopo Mianzini.
Shahidi alidai kuwa alimwagiza Sajenti Onuku kuchukua maelezo ya Msangi na baadaye alimpatie fomu namba tatu ya polisi (PF3)Kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Alieleza kwamba baada ya kuandikwa maelezo kituo Cha polisi Msangi alipatiwa PF3 ambapo shahidi aliongozana naye hadi katika hospital ya Mkoa Mount Meru ambapo Msangi akitibiwa na baadaye daktari alijaza PF3.
Shahidi alidai kuwa baadaye alikabidhiwa PF3 na kuitunza eneo salama na baada ya kukamilika kwa uchunguzi aliambatanisha PF3 kwenye jalada la mlalamikaji na kulipeleka Kwa mwanasheria wa serikali.
Wakili Mwandamizi wa serikali Abdalah Chavula alimtaka Shahidi huyo kuitambua PF3 mahakamani ,ambapo shahidi aliitambua kuwa ni Mali ya jeshi la polisi na kuiomba mahakama iipokee kama kielelezo,ambapo kilipokelewa kama kielelezo namba moja.
Shahidi alidai kwamba February 12 mwaka.huu majira ya saa 10 aliongoza kikosi Cha askari wa upelelezi kwenda eneo la tukio katika duka la Shaahid Store lililokuwa limefungwa tangu siku ya tukio Februari 9 mwaka huu.
Alidai kuwa akiwa ameambatana pia na Norman Jasim muuzaji wa duka hilo alifungua duka nankuingia ndani ambapo walikuta baadhi ya bidhaa zikiwa zimevurugika huku chini ya sakafu kukiwa na matone ya damu na Maji.
Shahidi aliieleza kuwa Camera nne za CCTV zinazotumika katika duka hilo zilikuwa zimechezewa na kugeuziwa ukutani huku kamera mbilizilizobaki hazikuweza kurekodi tukio vizuri.
Alidai kuwa muuzaji wa duka hilo Norman Jasim alikagua vizuri na kugundua kuwa ndani ya duka hilo mashine mbili za EFDs pamoja na fedha za mauzo zilichukuliwa .
Kesi za moshi hachomoki,shida arusha kawapiga sana wahindi hawawezi kusema loloteWanamtoa live wenyewe ili isionekane kaonewa ndio maana hakimu katolewa mkoa mwingine kabisa kuja kumaliza kesi za Arusha siku 14 mfululizo aende tena huko Moshi kwenye kesi zake zingine huyu Moshi ataenda akiwa na jezi tayari labda waruke hukumu...
Alilindwa na jiweHaya ni maajabu,yaani kumbe Sabaya wa hai alikuwa anatawala na kufanya uhalifu Arusha achilia mbali eneo lake la hai
Anajikaza tuu hana loloteHii kesi naiona ngumu kwa sabaya lakini cha ajabu namuona hana stress kabisa yani
Wat went rohombaya ndivyo walivyoHii kesi naiona ngumu kwa sabaya lakini cha ajabu namuona hana stress kabisa yani