Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

Nimekaa sana majengo mapya karibu na ngarenaro mitaa ya chuo Cha sua.
Nimekaa Ngara mtoni.
Nimekaa Arumeru .
So Arusha naijua Sana Zaid ya Sana.
Majengo na ngarenaro hakuna ukaribu ni mbali kabisa...ngarenaro yenye chuo cha SUA ni ipi...acha uwongo wa kitoto wewe hujawahi kufika arusha labda ulifika kwa ndoto
 
Nimeona mmoja anajisifu uhalifu bila wasiwasi...video inagoma kuupload
 
Arusha ina icon yake East Africa tangu zamani
Unashangaa wakenya wanavofungua magroup huko ya kuja kuitembelea Arusha anatokea mlugaluga mmoja huko anaandika mji umejaa "uharifu" hawajui hata kuandika neno uhalifu na lafudhi yake ya kingosha 🤣 wanatuletea ujuaji kwenye mji wetu wa kitalii wakae kwao huko huko😄😄
 
kwa uliyoyaandika ni wazi wewe dunia uliyotembea ni hapa zambia na burundi ndio maana unashangaa mmasai kutembea na sime which is cultured and not an offensive weapon.
Ukienda Yemen, Oman Saudi Arabia manedui kawaida kutembea na jambia.
ni utamaduni wao.. kula bangee hadharani sio uhalifu California watu wanatumia bangee kwenye bar zao na nchi nyingi zimeanza kuhalalisha bangee kuhusu matusi ni sio Tanzania tu kokote duniani barabaran. Isipokuwa vijijini
Embu acha tabia ya kuandika pumba ukiwa umelewa kenge wewe
 
Acha wiki mbili zilizopita niliporwa Kila kitu na boda niliyemkodi anipeleke mahali. Kwa kua alijihakikishia sijui niendapo akanipeleka chaka na kunipora huku kaniwekea kisu tumboni. Hakuniachia hata buku. Nashukuru hakunichoma kisu.
 
Huwa nakosa amani ninapokuwa nazunguka mitaani jijini Arusha.

Nadhani vijana wavuta bangi wamekuwa wazee na wamezaa watoto ambao pia ni wavuta bangi (ambao wengi ni bodaboda hivi sasa). Hivyo jamii nzima ya jiji hilo inavuta bangi.
Naunga mkono hoja
 
Acha wiki mbili zilizopita niliporwa Kila kitu na boda niliyemkodi anipeleke mahali. Kwa kua alijihakikishia sijui niendapo akanipeleka chaka na kunipora huku kaniwekea kisu tumboni. Hakuniachia hata buku. Nashukuru hakunichoma kisu.
Duuuh polee sana.
 
Back
Top Bottom