Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

Ha ha ha ha ha ha! Hii Sasa inanipa kujua kwa Nini unaitwa stroke.

Utakuwa ulipata stroke mahala na hasa kwenye ubongo wako.

Outdated =(adj), out of date, obsolete, similar to old fashioned, out of date.

Nimekusaidia kujua maana ya hilo neno .
Chizi hili.

Wewe unavyoona takwimu za mwaka 2021 ni za zamani kuliko za 2002-2003 unazoomba??
 
Saana wanaona ndio ujanja kumbe hamna kitu zaidi ya upumbavu. Bangi wanavuta afu wana shida hapo lazima uishie kuwa kibaka tu
Huwa nakosa amani ninapokuwa nazunguka mitaani jijini Arusha.

Nadhani vijana wavuta bangi wamekuwa wazee na wamezaa watoto ambao pia ni wavuta bangi (ambao wengi ni bodaboda hivi sasa). Hivyo jamii nzima ya jiji hilo inavuta bangi.
Ni kama nyie Wa Daslam mnavyoona USHOGA ndio dili
 
Nafikiri hayo yote chanzo chake ni ukosefu wa elimu,wakipata elimu wataachana na hizo zama za kale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachekesha

Elimu ilikuwepo Arusha kabla huo mkoa wako haujawa na shule 5 za serikali

Angalia viongozi wengi wasomi na wenye maendeleo miaka ya 60, 70 mpaka sasa walitoka wapi
 
Mi nimejiapia siku awa watoto wajichanganye na visu vyao butu kuniibia km**e ntamteka mmoja tu namficha maporini kisongo asionekane hata mwaka wapuuzi sana wanazidi sasa
Mipasho tu ya kike hiyo
 
Dunia ya Sasa imejikita kwenye 24 hours economy, wewe unaongea juu ya maduka mawili ya dawa yanayokesha yaliyoko katikati ya mji?

Ningekuelewa kama ungenambia maduka Arusha kwa ujumla wake hufanya kazi 24 /7.
Ila dar Raha sana Sehemu kama buguruni,mabagala, mwananyamala na Sehemu zingine za uswahili unakuta maduka Masaa 24 Kabisa
Hili ni jiji la kipeke Kabisa
 
Bado naziona element za kuwa mhalifu kwako. Wapi utamkuta mtu na masters cjui biashara na umri huo anatukana mtu pumbavu.

Wewe ni case study ya uhalifu ninaousema.

Kama wewe na sifa zote unatukana hivyo, nambie wale walioko huko Sasa, wasiojua hata mlango wa masters ulipo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38]dahhh
 
Back
Top Bottom