Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Nimekuwa najiuliza sana mwenendo wa ma polisi na mapesa yao .Kuporomosha majumba makubwa kila koma kama Mahita na Tibaigana.Mtoa habari mmoja anasema kwamba kila aliye wahi kuwa RPC ama RCO Arusha lazima ni tajiri.Je Arusha kuna nini hadi wakubwa hawa wabakie kuwa matajiri wakati wameingia wakiwa watumishi wa kawaida na mshahara wao wajulikana ?
Je ndiyo chanzo cha mauaji na ujambazi mkubwa Mkoa huu ?Mwenye nalo neno anipe msaada tafadhali .
Je ndiyo chanzo cha mauaji na ujambazi mkubwa Mkoa huu ?Mwenye nalo neno anipe msaada tafadhali .