View attachment 70101
Mlima Meru unaoleta raha ya jiji la Arusha!
Hahahaaaaaa kaka majungu hayo!Erick mambo niaje? Kumbe hizi mbwembwe za siku zote ,
ooh Arusha jiji ! Arusha jiji !
Jana sijui juzi ndiyo Jeikei kawapeni hadhi ya jiji !
Punguzeni makidai basi nyie watu wa Arachuga!
Alafu kila kukicha mnatakaga kupima msuli na Roca cirry ! ( A central cirry of the great lakes )
mtatupata saa ngapi ?
Hahahahahahahaaaaaa snochet naona una utani wa nguoni na Arushaonehali ya hewa iko safi, Arushaone wewe si unapenda sana kukaa kwenye mabenchi ya Palace Hotel,pale kwa mkuu wa mkoa,leo upumzike,patakuwa pameloa......
Geneva of Afrika!
Teh hata sisi hatujazaliwa Arusha ila tumepata neema kuwa ArushaNi neema iliyoje kuzaliwa Arusha..
Hahahahaaa hivi weekend hii wapi? Mzee wa Rula una ratiba ya wiki hii?Mungi bhana! Kipindi hiki ni Grants tu!
Hahahaaaaaa kaka majungu hayo!
Lilikuwa jiji ila KJ (Kubwa Jinga) kazindua jiji jingine ndani ya jiji la Arusha yan City within a City
Hahahahahaaaaaaaa View attachment 70126Yeah that's true! Na pia alizindua rasmi bendi ya DAIMOND na Orijino Komedi
Hahahahaaa hivi weekend hii wapi? Mzee wa Rula una ratiba ya wiki hii?
hahahahahaaaaaaaa View attachment 70126
Ok pouwa weekend imefika hope tutaonana kamanda!nipo mkuu wangu,....
Heheheheeee kila nikitaka kuamka nashangaa baridi inazidi inabidi lol wacha niamke basi
charminglady we ushaamka??????hapo utakuwa umefanya la mbolea.......