CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,921
Wanadai CHADEMA wameomba radhi kwa vijana wa CHADEMA kuwapiga make sina uhakika na hilo
Wanawashukuru sana jeshi la polish mkoa wa arusha
Lipumba hajaeleza ni vipi yuro itastabilaizi kutoka na kitisho cha ugiriki?
CUF waliona mbali sana kuleta watu kutoka arusha
Jamaa anasema CHADEMA na CCM ndo wamefanya maisha ya watu wa ARUSHA yawe magumu.anadai CUF ndo chama makini Tanzania hii
Jamaa anadai CUF hawajaja kushambulia chama chochote
Wanasema wamevuna wanachama zaidi ya mia kwa siku 9 kwa mkoa wa arusha
ANADAI KAMATI KUU YA CHADEMA YA WATU 45 Ndo waliomfukuza na kuacha watu zaidi ya buku waliomchagua, amesahau CUF waliwatimua wakina hamadi rashidi. Ni diwani BAYO
Wapi hiyo?Mnadanganya watu!hapa cyo Arusha,hapa namba za watu zinahesabika!