DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Baadhi ya wananchi katika Jimbo la Arusha Mjini wameeeleza nia yao ya kumuona Mbunge wa jimbo hilo anayemaliza muda wake, Mrisho Gambo akirejea tena katika jimbo hilo kwa kipindi cha mwaka 2025- 2030 ili aendelee kuwasemea wananchi wakimtaja kuwa mfanyakazi hodari na mwenye kuijua vyema Arusha.
Wamewataka wajumbe wa CCM watakaohusikakupitisha jina la mgombea ubunge katika jimbo hilo kutenda haki kwa kumrejesha Gambo katika kinyang'anyiro hicho.
Wamewataka wajumbe wa CCM watakaohusikakupitisha jina la mgombea ubunge katika jimbo hilo kutenda haki kwa kumrejesha Gambo katika kinyang'anyiro hicho.