Arusha: Mhubiri achomwa kisu kisa Kelele

Arusha: Mhubiri achomwa kisu kisa Kelele

Mahubiri ya kweli hutibua mandondocha, na wafuga majini. Kazi ya yehova iendelee.
 
Nikuulize swali hivi unafahamu wale vijana wa muslim brother hood waliopigwa marufuku misri wafuasi wa Rais Mohamed Mursi? Bado wapo.

Raia mmoja wa misri amemchoma kisu mhubiri wa mitaani mkoani Arusha kwa kile alichodai kuchoshwa na kelele zake.

Muhubiri huyo maarufu mkoani hapa amekuwa akihubiri neno la Mungu mitaa, barabarani, stand za mabasi kuponya mioyo iliyopotea na kukata tamaa, kosa lake nini?

Tunalitaka jeshi la polisi mkoani hapa kuchukua hatua haraka maana haya mambo yapo kwao Misri na akitoka jela afukuzwe hapa chini.

USSR

====

Anord Mpobela kutoka huduma ya Caanan International Ministry, anayehubiri pia neno la Mungu katika mitaa ya jiji la Arusha, amechomwa kisu cha kiganja na mtu anayedaiwa kuwa ni raia wa Misri kwa kilichoelezwa kwamba mtu huyo amekuwa akichoshwa na kelele za Mhubiri huyo.

Tukio hilo limetokea Mei 9, 2023 katika eneo la barabara inayopandisha mtaa wa Jogoo House jijini Arusha.

Chanzo: EATV

Sent using Jamii Forums mobile app
Makelele hata mm siyapendi no matter what
 
Uislamu ni ushetani kuliko wale wachungaji wanaoua watu kwa kuwaambia wafunge hadi wafe au wale mapadri wenye skendo za ulawiti kule vatican!? Au ni ushetani kuliko yule papa anayelike picha za ngono instagram na kupromote ushoga!?

Utakuwa umesahau mkuu, ebu jikumbushe maovu ya waislam
 
Mmoja anatafuta balaa hapa Manzese, anapita kijiwe cha mjani wa Chugga na kuwapayukia
,🎶asiye acha bangi na kumfuata Yesu kufa kufa kufaaaah*🎶 na kispika chake.
 
Wasiokua na iman kama yakwako pia waheshimiwe sana, nasio kuwafanyia bugdha yan keleleeee....
inakera sana wahusik badilikeni bwanah.
 
Utakuwa umesahau mkuu, ebu jikumbushe maovu ya waislam
Nikumbushe wewe mimi siyajui,na uwe na uhakika tumeyaskia kwenye vyombo vya habari usije ukasema huku kwetu shinyanga sijui wapi! Tuambie kuna sheikh fulan kafungia watu na kuwachoma moto sehemu fulani ilisharipotiwa au kiongozi fulani wa waislamu ana skendo moja mbili tatu..Nipo hapa nakusikiliza
 
Huyo mjukuu wa firauni arudishwe kwao haraka,asilete ujinga huku
 
Sina udini lakn pale neno la Mungu linapotangazwa Kama huguswi tulia tu, wenzako wanaguswa. Mbona wao wanaweka vipaza sauti juu kabisa ya msikiti na hatujawah sema tunachoshwa.
Hiyo habari haijitoshelezi kamcho kisu chanzo nini huyo Mmisri yuko hapa tz kwa kazi gani hapo arusha anafanya nini?huyo muubili alikuwa akubilia sehemu gani?labda kwenye biashara yake na kila siku na masipika wewe ulio kuwa kenge unaangalia upande wa msikiti walio mchoma umejuaje kuwa ni muisilamu alikwambia kuwa wamisri wote ni waisilamu nani?
 
Ukiwakuta pale soko la samunge ni kama fujooo yan husikiii maombi unaskikia tu papapapappaa kuna siku mmoja akakimbizwa na wapiga debeee wa njiro maan ilikua tafran keleleee za mchungaji V.S kelelee za wapiga debee

Yan tafran
Hiyo
1682959352562.jpg
 
Mimi ni muislam lakin sijapenda how come mtu atoke kwao misri huko aje! Kutuletea ujinga wake si akafanye misri ujinga wake- sisi watuache tugombane wenyewe kwa wenyewe watanzania na sio rahis kuna vingi tu vinatuunganisha tutagombana kwa maneno tu
Huo ugomvi unajua chanzo chake?muisilamu hata siku 1 ajitaji bali vitendo viake umtangaza
 
Mimi ni muislam lakin sijapenda how come mtu atoke kwao misri huko aje! Kutuletea ujinga wake si akafanye misri ujinga wake- sisi watuache tugombane wenyewe kwa wenyewe watanzania na sio rahis kuna vingi tu vinatuunganisha tutagombana kwa maneno tu
Wewe sio muisilamu bali ni muishiramu
 
Wao na zile adhana zao hukurupukia watu asubuhi hadi kero, dini ya chuki na fujo, waendelee kuhubiriwa hata wakichinja wahubiri au kuwalipukia mabomu.
Na zile kengele tunazopiga sa kumi na moja? zinabembeleza watu eee
 
Nikuulize swali hivi unafahamu wale vijana wa muslim brother hood waliopigwa marufuku misri wafuasi wa Rais Mohamed Mursi? Bado wapo.

Raia mmoja wa misri amemchoma kisu mhubiri wa mitaani mkoani Arusha kwa kile alichodai kuchoshwa na kelele zake.

Muhubiri huyo maarufu mkoani hapa amekuwa akihubiri neno la Mungu mitaa, barabarani, stand za mabasi kuponya mioyo iliyopotea na kukata tamaa, kosa lake nini?

Tunalitaka jeshi la polisi mkoani hapa kuchukua hatua haraka maana haya mambo yapo kwao Misri na akitoka jela afukuzwe hapa chini.

USSR

====

Anord Mpobela kutoka huduma ya Caanan International Ministry, anayehubiri pia neno la Mungu katika mitaa ya jiji la Arusha, amechomwa kisu cha kiganja na mtu anayedaiwa kuwa ni raia wa Misri kwa kilichoelezwa kwamba mtu huyo amekuwa akichoshwa na kelele za Mhubiri huyo.

Tukio hilo limetokea Mei 9, 2023 katika eneo la barabara inayopandisha mtaa wa Jogoo House jijini Arusha.

Chanzo: EATV

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamàa Wana makelele sio kawaida ni kelele mtindo mmoja
 
Mimi ni muislam lakin sijapenda how come mtu atoke kwao misri huko aje! Kutuletea ujinga wake si akafanye misri ujinga wake- sisi watuache tugombane wenyewe kwa wenyewe watanzania na sio rahis kuna vingi tu vinatuunganisha tutagombana kwa maneno tu
Muislamu wa kweli hutafuta ukweli wa taarifa kwanza kabla ya kuhukumu
 
Wao na zile adhana zao hukurupukia watu asubuhi hadi kero, dini ya chuki na fujo, waendelee kuhubiriwa hata wakichinja wahubiri au kuwalipukia mabomu.
Adhana moja maximum ni dakika tatu, kwa siku ni dakika 15 tu. Ila mahubiri yenu ni masaa matatu na zaidi

Kama mnataka fair, basi na nyie fanyeni mahubiri ya vipaza sauti kwa dakika tatu, kisha subirini masaa mawili mfanye mahubiri kwa dakika tatu nyingine , hivyo hivyo mpaka siku iishe!. Au la sivyo na waislamu nao wafanye mahubiri yao ya vipaza sauti kwa masaa matatu nonstop kama nyie!. Na ikifika Alhamisi wafanye mkesha wa mahubiri kama walokole usiku kucha kwa vipaza sauti!.

Uislamu una kiasi, uko well balanced!
 
Back
Top Bottom