Arusha: Mhubiri achomwa kisu kisa Kelele

Arusha: Mhubiri achomwa kisu kisa Kelele

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,721
Reaction score
27,820
Nikuulize swali hivi unafahamu wale vijana wa muslim brother hood waliopigwa marufuku misri wafuasi wa Rais Mohamed Mursi? Bado wapo.

Raia mmoja wa misri amemchoma kisu mhubiri wa mitaani mkoani Arusha kwa kile alichodai kuchoshwa na kelele zake.

Muhubiri huyo maarufu mkoani hapa amekuwa akihubiri neno la Mungu mitaa, barabarani, stand za mabasi kuponya mioyo iliyopotea na kukata tamaa, kosa lake nini?

Tunalitaka jeshi la polisi mkoani hapa kuchukua hatua haraka maana haya mambo yapo kwao Misri na akitoka jela afukuzwe hapa chini.

USSR

====

Anord Mpobela kutoka huduma ya Caanan International Ministry, anayehubiri pia neno la Mungu katika mitaa ya jiji la Arusha, amechomwa kisu cha kiganja na mtu anayedaiwa kuwa ni raia wa Misri kwa kilichoelezwa kwamba mtu huyo amekuwa akichoshwa na kelele za Mhubiri huyo.

Tukio hilo limetokea Mei 9, 2023 katika eneo la barabara inayopandisha mtaa wa Jogoo House jijini Arusha.

Chanzo: EATV

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la polisi limethibitisha hilo!? Alienda kuripoti na kuchukua PF3 baada ya tukio hilo!?..

Inaweza ikawa ni kweli au tu ni kiki ya kutaka kuingia mjini,kama ni kweli kuna mazingira yalimlazimisha huyo mmisri kumpiga kisu maana nina uhakika kabisa asingeweza kumfuata kanisani kwake na kumchoma kisu! na kama tukio hili limefanyika huyo Mmisri achukuliwe hatua regardless mazingira ya tukio..
 
Halafu hiyo picha kapiga bar kafuata nini huyo mchungaji!? Kuna chance pia ya kwamba ana tabia ya kuhubiri hayo mahubiri sehemu kama hizo za bar ndio maana wasiopenda kubughudhiwa wamemfanyia mbaya
 
Uislamu ni ushetani pili ni ugaidi. Fuatilia utanishukuru hasa ukiachana na hiyo Imani
Uislamu ni ushetani kuliko wale wachungaji wanaoua watu kwa kuwaambia wafunge hadi wafe au wale mapadri wenye skendo za ulawiti kule vatican!? Au ni ushetani kuliko yule papa anayelike picha za ngono instagram na kupromote ushoga!?
 
Na nyie mtu anachomwa kisu na gaidi, mhamiaji haramu, mnamwangalia tu mmeshindwa kumdhibiti?
 
Nikuulize swali hivi unafahamu wale vijana wa muslim brother hood waliopigwa marufuku misri wafuasi wa Rais Mohamed Mursi? Bado wapo.

Raia mmoja wa misri amemchoma kisu mhubiri wa mitaani mkoani Arusha kwa kile alichodai kuchoshwa na kelele zake.

Muhubiri huyo maarufu mkoani hapa amekuwa akihubiri neno la Mungu mitaa, barabarani, stand za mabasi kuponya mioyo iliyopotea na kukata tamaa, kosa lake nini?

Tunalitaka jeshi la polisi mkoani hapa kuchukua hatua haraka maana haya mambo yapo kwao Misri na akitoka jela afukuzwe hapa chini.

USSR

====

Anord Mpobela kutoka huduma ya Caanan International Ministry, anayehubiri pia neno la Mungu katika mitaa ya jiji la Arusha, amechomwa kisu cha kiganja na mtu anayedaiwa kuwa ni raia wa Misri kwa kilichoelezwa kwamba mtu huyo amekuwa akichoshwa na kelele za Mhubiri huyo.

Tukio hilo limetokea Mei 9, 2023 katika eneo la barabara inayopandisha mtaa wa Jogoo House jijini Arusha.

Chanzo: EATV

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijaona shida kuchomwa kisu, hata hivyo si ni faida kwake huyo mchungaji maana kateswa kwa ajili ya BWANA
 
Back
Top Bottom