Arusha: Mfanyabiashara wa Madini auawa kinyama na mwili wake kukutwa kwenye shimo la choo

Acha ujuaji wako wa kiarusha wakati Meno yako yote yamejaa tope!
 
Unatakiwa kuisaidia polisi
 
Kauli kama izi sio za kiungwana kabisa; Kwamba mpaka kufikia kumuua mama ake? Kwamba Mtu mwingine akimuua it ok?? Hatakiwi kuuwa Kabisa mtu mwenye uhai kabisa.

Sina maana hiyo na wewe unajua hilo
Mauwaji yamekuwepo miaka yote na hakuna anaefurahia bali shetani tu

Mtoto kuuwa mzazi ni nadra kwa hiyo ni jambo la kishtusha, hilo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…