Arusha: Majeruhi wa bomu na risasi wa mkutano wa CHADEMA wateseka zaidi

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Majeruhi wote wa bomu na risasi za Mwingulu Nchemba (Kutoka kiwanda moja cha serikali ya China) lililorushwa kwenye uwanja wa soweto jijini Arusha siku ya tarehe 15.06.2013 siku ya kufunga kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata nne za jiji ni hapa ambao ulipangwa kufanyika tarehe 16.06.2013, majeruhi hao ambao awali waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani waliahidi wange gharamia gharama zote za matibabu, sasa serikali imejitoa hali iliyopelekea wangonjwa kuambiwa kuondoka kwenye hospitali ya selian, St Elizabeth na AICC Hospital.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo baada ya kusikia taarifa hizo walikimbia kwenda selian ambapo wangonjwa wengi ndipo walipo lazwa na kuongea na uongozi wa selian hosp iwapokee wagonjwa wote ambao sasa wata kusanywa kutoka hospita tatu yaani AICC hosp, St Elizabeth hosp( kwa father Babu) na Mt Meru hosp...

Niliongea na wagonjwa hao ambao walikuwa wameshaanza kukusanya vilivyo vya kuondoka hospital hapo wamesema jambo hili limetokea baada ya wagojwa wengi kukataa kushinikizwa kutoa maelezo wanayoyataka serikali ya ccm kwa kuwatuma polisi wa kitanzania huku wakijifanya FBI, wagojwa hao waligoma kata kata kutoa maelezo kwa jeshi hilo la polisi wakisema tuletewe wanasheria wa chadema wakati wa kutoa maelezo...
 
Arusha Hoyeee Walidhani watawapata kwa kuwarubuni kodi zetu. CDM komaeni kiume mpaka huo uongo ujulikane. Njia pekee kukomesha mabomu ni ukweli kujulikana. CDM msipokomaa 2014 ni kesho asubuhi, kila mkutano bomu moja, hawa wenzenu hawahitaji meli ya kivita kwani haifiki mbeya na musoma hivyo wanahitaji bomu moja tu la mkono mbeya na lingine musoma (BUNDA) na cdm inafutika juu ya uso wa nchi. Uonesheni ukweli leo cdm nchi ipone. Msiogope bili ya hospitali,
 
CHADEMA ikiona inazidiwa, ipitishe mchango kwa wanachama wake ili wachangie hizo gharama za matibabu ya hao wagonjwa. Tunawachukulia hao wagonjwa kama mashujaa wetu. Kama tulivyomchangia Nyerere nauli wakati wa kudai uhuru tutawachangia hawa wenzetu matibabu ili wapone na kurudi kuungana na sisi katika ujenzi wa taifa na chama.
 
Hongereni wana Arusha, Majeruhi Mungu aendelee kuwapa ujasiri na kuwasimamia ili muweke kweli peupe, na iwe chanzo cha kukomesha ujangiri wa MACCM
 
Mungu yupo...malipo ni hapa hapa duniani, ccm na hila zao ipo siku, wame uwa, wamejerui na wanatesa saivi..
 
kwa mtindo huu kuna haja ya watanzania kushiriki kwenye Tamasha la matumaini?? nikiliita tamasha la kinafiki ntakuwa nimekosea? naomba mwongozo!!!
 
Kwa mara nyingine Bwana Peter Pinda kawadanganya watanzania kupitia bunge linaloitwa eti 'BUNGE TUKUFU'.

What a shameful PM we have!!!
 
Majeruhi wote wa bomu na risasi za Mwingulu Nchemba (Kutoka kiwanda moja cha serikali ya China) lililorushwa kwenye uwanja wa soweto jijini Arusha siku ya tarehe 15.06.2013 siku ya kufunga kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata nne za jiji ni hapa ambao ulipangwa kufanyika tarehe 16.06.2013, majeruhi hao ambao awali waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani waliahidi wange gharamia gharama zote za matibabu, sasa serikali imejitoa hali iliyopelekea wangonjwa kuambiwa kuondoka kwenye hospitali ya selian, St Elizabeth na AICC Hospital. Chama cha Demokrasia na Maendeleo baada ya kusikia taarifa hizo walikimbia kwenda selian ambapo wangonjwa wengi ndipo walipo lazwa na kuongea na uongozi wa selian hosp iwapokee wagonjwa wote ambao sasa wata kusanywa kutoka hospita tatu yaani AICC hosp, St Elizabeth hosp( kwa father Babu) na Mt Meru hosp... nilikiongea na wagonjwa hao ambao walikuwa wameshaanza kukusanya vilivyo vya kuondoka hospital hapo wamesema jambo hili limetokea baada ya wagojwa wengi kukataa kushinikizwa kutoa maelezo wanayoyataka serikali ya ccm kwa kuwatuma polisi wa kitanzania huku wakijifanya FBI, wagojwa hao waligoma kata kata kutoa maelezo kwa jeshi hilo la polisi wakisema tuletewe wanasheria wa chadema wakati wa kutoa maelezo...

"SYMPATHY VOTE" ZITAWASUMBUA MAKAMANDA DAH WADANGANYIKA WANA KAZI SAFARI HII:nono::nono:
 
Walishawahi kataa juice na maji waliyoletewa na mapolisi ccm,sembuse kuhojiwa?zile juice na maji zilisadikika kuwa na sumu!Arusha ni Arusha bana!Mungu awajalie nguvu na mpone haraka!Wabaya watapata malipo yao hapahapa!mbinguni mahesabu.
 
Majeruhi wote wa bomu na risasi za Mwingulu Nchemba (Kutoka kiwanda moja cha serikali ya China) lililorushwa kwenye uwanja wa soweto jijini Arusha siku ya tarehe 15.06.2013 siku ya kufunga kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata nne za jiji ni hapa ambao ulipangwa kufanyika tarehe 16.06.2013, majeruhi hao ambao awali waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani waliahidi wange gharamia gharama zote za matibabu, sasa serikali imejitoa hali iliyopelekea wangonjwa kuambiwa kuondoka kwenye hospitali ya selian, St Elizabeth na AICC Hospital.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo baada ya kusikia taarifa hizo walikimbia kwenda selian ambapo wangonjwa wengi ndipo walipo lazwa na kuongea na uongozi wa selian hosp iwapokee wagonjwa wote ambao sasa wata kusanywa kutoka hospita tatu yaani AICC hosp, St Elizabeth hosp( kwa father Babu) na Mt Meru hosp...

Niliongea na wagonjwa hao ambao walikuwa wameshaanza kukusanya vilivyo vya kuondoka hospital hapo wamesema jambo hili limetokea baada ya wagojwa wengi kukataa kushinikizwa kutoa maelezo wanayoyataka serikali ya ccm kwa kuwatuma polisi wa kitanzania huku wakijifanya FBI, wagojwa hao waligoma kata kata kutoa maelezo kwa jeshi hilo la polisi wakisema tuletewe wanasheria wa chadema wakati wa kutoa maelezo...

Ufanyike mpango iwekwe AC na namba ya Mpesa tutatupia hata buku buku jamani mbona vocha kila siku tunanunua kwa ajiri ya kuchat
 
Back
Top Bottom