Ndio unavyojidanganya. Tayari mahakama imeona ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imemwonea Lema. Maana yake Lema akitoka atakuwa mara kumi ya alivyokuwa. Majaji wanashangaa jinsi serikali ilivyonajisi taalum ya sheria.
Kwa hukumu hii serikali haitapata tena fursa ya kumweka mtu ndani bila ya dhamana kwa kuonea.
Sipo CHADEMA, huenda sikubaliani na aliyosema
Akili zako sina uhakika kama zina akili. Badala ya kumlaumu huyo mwenye amri ya kutoka juu unamlaumu Lema.Do you think you are safe? Subiri hiyo amri kutoka juu itakavyokushughulikia wewe au mjomba wako ndipo utakapojua madhara ya kutumia vibaya mamlakaukitoka utie adabu kipindi hiki sio cha jk, la sivyo utaozea jela. acha kuropoka
Mkuu hivi maana ya sizonje ni nini ingawa nafahamu huyo sizonje ni herode..
Kwa nini akae jela miezi mitatu mbunge wa kuchaguliwa? Ni mini alichptaka kuwasaidia wapiga kura wake hasa? Kero zao walimtuma mojawapo ilikuwa ni kumtukana Rais? Haya, tayari keshamtukana Rais, je imemaliza njaa ya wapiga kura? Imejenga zahanati? Imeongeza chakula? Ningeshauri akitoka jela akae na wapiga kura wake awaombe msamaha, la sivyo hiyo miezo 4 jela kawaibia muda wao. Mbunge alitakiwa awe kazini akiwatumikia lakini yeye akachagua amtukane
Rais. WM
Nidhamu ya kijinga? There are times we have to learn to call a spoon a spoonKwa kesho atapata sema akitoka awe na Nidhamu
chunga mdomo unaongea kama vile unajua kwanini mh lema yupo ndani hadi leo ,nchi inaendeshwa kwa utawala wa sheria si kauli za ajabu ajabu waache majaji wafanye kazi zao.mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.ukitoka utie adabu kipindi hiki sio cha jk, la sivyo utaozea jela. acha kuropoka
Kwa uamuzi huu wa mahakama wa waheshimiwa majaji Lema anarudi tena Kisongo ili aanze taratibu za mahakama za chini ili wampe dhamana.
Umesema vema Jk aliheshimu utawala wa sheria na kutoa nafasi mihimili mikuu kufanya kazi kwa uhuruukitoka utie adabu kipindi hiki sio cha jk, la sivyo utaozea jela. acha kuropoka
Kwa hiyo mlimweka mahabusu ili awe na heshima na adabu? Ngoja tuone kama mtaheshimiwa zaidi ya kuumbuliwa! Tayari ya Bashite yako hadharani, mtaumbuka mmoja mmoja hadi mzikimbie ofisi nyie wenyewe!Lema akitoka awe na heshima na adabu kwa Rais wa nchi hii Rais anamuwakilisha Mungu kwenye kutawala Dunia .
Kwani yuko mahabusu kwa kufanya vurugu gani?kama atapata dhamana na kurudi uraiani, na kuanza tena vurugu zake..... ndio nitajua kuwa mbunge huyu ni msela tena ni kichwa kibovu.....
Wakili gani Bomu huyo kibatala, badala ya kupambana kisheria na mawakili wenzake anamwaga chozi kupata huruma ya majaji, kwani DPP hapo analaumiwa kwa lipi Wakati upande wa utetezi ni Bomu, wacha anyee debe tena kdg akirudi atachunga domo huyo criminal.ukitoka utie adabu kipindi hiki sio cha jk, la sivyo utaozea jela. acha kuropoka
Tusi lipi alitukana? Charge sheet imeeleza tusi gani mkuu?Tunakupenda LEMA ila kesho ukitoka acha matusi wewe nikiongozi mkubwa hata kama kunajambo linakukera , Leo watu wanasema watakukumbuka wakati miezi 3 wameanza kukusahau hii nibongo haina shukurani care your family bro
Angemtukana rais angekua keshafungwa.We zuzu alimtukana nini rais? Au hujui tusi ni kitu gani?