Arusha: Maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni(Forex) yasimamiwa na JWTZ, wananchi watakiwa kwenda Benki Kuu

Huko ndo kushuka? Mwaka 2014 dola ilifika TZS2500, au ulikuwa hujaweza kumiliki forex!
ii ni kali aiseee yaani mkotayari kufanya au kusema chochote kutetea unachoamini. Mwaka 2014 nilikuwa na heka heka nyingi sana zinazohusu kusafiri na nilikuwa nabadili sana fedha lakini dollar haikuwahi kufika hata 2400 acha 2500 uisemayo. Mwenye ushahidi aje hapa. Daaah yaani mtu yuko tayari kusema lolote tu kama viongozi wa awamu hii!!!
 
Kwa kuwa maduka yenyewe mjini Arusha ni machache, nadhani chini ya 20, kwa nini wasingeweka tu hao wanajeshi/polisi kwa zamu kuhakikisha wanatoa receipt kwa kila transaction? Baada ya mwezi mmoja tu watakuwa wameona hela inavyo flow na hivyo kuweka utaratibu sahihi zaidi
Mimi sio mchumi hivyo huo ni mtazamo wangu
 
ii ni kali aiseee yaani mkotayari kufanya au kusema chochote kutetea unachoamini. Mwaka 2014 nilikuwa na heka heka nyingi sana zinazohusu kusafiri na nilikuwa nabadili sana fedha lakini dollar haikuwahi kufika hata 2400 acha 2500 uisemayo. Mwenye ushahidi aje hapa. Daaah yaani mtu yuko tayari kusema lolote tu kama viongozi wa awamu hii!!!
The country is lost, uzuri wa JF ina records, utashangaa upepo ukibadilika, kuna ID zinakufa kifo cha mende
 
Read between the lines.

Hao jamaa kama wangekuwa wanafanya vitu legally serikali isingejisumbua ku deploy TPDF

Ukiona hali iko hivyo ujue amiri jeshi mkuu amepewa credible intel ya uharamia. Contrary to popular belief [bold]serikali sio wajinga[/bold]
Serikali ni watu na kwenye watu kuna wajinga! Kusaini mkataba wa madini kwa mrahaba wa asilimia mbili si ujinga? Kusema fwedha za Escrow si za umma halafu baadaye unamkamata MWENYE fedha hizo na kumweka ndani bila dhamana kwa kosa la kuiba fedha za umma si ujinga! Kuwadanganya wananchi kuwa umenunua kivuko Kipya kwa tsh bilioni nane halafu kivuko chenyewe ni kibovu Beyond repair na baadaye unawatisha wanaohoji uadilifu wako kwa kuwatishia jeshi si ujinga huo? Kujifanya unajua kila kitu wakati unaonekana kabisa hujui ni upumbavu! Na mtu anayemtegemea mjinga amwongoze naye sijui tutamwita nani!
 
Kwa kuwa maduka yenyewe mjini Arusha ni machache, nadhani chini ya 20, kwa nini wasingeweka tu hao wanajeshi/polisi kwa zamu kuhakikisha wanatoa receipt kwa kila transaction? Baada ya mwezi mmoja tu watakuwa wameona hela inavyo flow na hivyo kuweka utaratibu sahihi zaidi
Mimi sio mchumi hivyo huo ni mtazamo wangu
Wewe una akili kuliko baraza zima la mawaziri wa ccm pamoja na mwenyekiti wao! Japo si mchumi daraja la kwanza kama Mwigulu nchemba
 
Sababu arusha ni lango la watalii. Pale hela za kigeni ni nyingi sababu watalii wamejaa pale.
Watu ni lazima waandike vitu kama wenye kufikiri; hivi hizi Bureau de Change ziko Arusha peke yake? Mbona za Dar na mikoa mingine hazijawekwa JWTZ? Kwanini Arusha peke yake? Ukishafikiria hili na ukajiuliza kwanini siyo Polisi wanaolinda ni lazima ujue kuna mambo kadhaa ambayo yatakuwa wazi...
 
Imebakia kwa Taifa stars tuu kuwatoa na kuweka jeshi tupate matokeo chanya. Viva jwtz the next leaders of Tz in the making
 
Na ww kama huna uhakika wa kinacho endelea. Kwa nn ume ashume pesa chafu..?
Hiz biashara zimesajiliwa na gov inajua hilo. Suala la pesa chafu ni lakusadikika.

baada ya hili kutokea naona jukwaa lote ni watalaam wa uchumi! acheni kupanic mliowengi hamjui kwanini serikali imeamua kufanya hivyo, tulieni kabisa!watakapoona inafaa mtapewa taarifa !hayo mengine mnayakuza wenyewe oooh jeshi kwanini linafanya hivi ooh kwanini ipo hiv mara zimbabwe ! kama unajuwa una fedha chafu utafikiwa kwa mda wako na lazima utalialia! mliishi kwa deko enzi za bwana yule awam hii tubuni muache mauzauza mfanye kazi halali mtaishi kwa raha sana lakini ukihutaji ujanjaujanja serikali ipo macho hapa ni mwendo mdundo hakuna kulegeza mchakamchaka kila siku hadi kieleweke
 
Rweye. Arusha ni lango la utalii kwa nchi hii. Means pesa nyingi za kigeni zinapita pale. Ndio maana wamewahi huko kufanya wanachotaka kufanya
Likitokea na mikoa mingine yote basi ntajua ni la nchi nzima na ni operation kubwa lakini kwa Arusha pekee yake bado naamini ni kwa ajiri ya Arusha pekee yake ...ila swali langu bado liko pale pale, kwanini hii iwe ni Arusha, huu mji wa Arusha, how genuine is Arusha?
 
Maamuzi ya ajabu sana haya!!

Haya ndio madhara ya kucheza na uchumi na sasa wanatumia jeshi badala ya weledi kurekebisha mambo!!

Kama shilingi inaporomoka, hiyo sio solution bali ni kuongeza tatizo.

Inawezekana kabisa wafanyabiashara wameona hali ni ya wasiwasi(shilingi yetu inayumba) hivyo ni bora wabadili fedha za kitanzania wapate hard currency (dola.n.k) ili kulinda mitaji yao.

Na demand ya dola ikiongezeka, maana yake shilingi itazidi kuporomoka huku dola ikizidi kupanda na hii huenda ndio hofu ya serikali.

Ni wazi tumeanza kuvuna tulichopanda.

Muda utasema ukweli ni upi.
Unalalamika nini na wakati hujui sababu ni nini?
Nyie watu ni wapumbavu sana
Such a serious decision can not be deployed kama hakuna serious issues zilikuwa zinaendelea
 
Nimekuelewa ndugu yangu ila angekuwa 1st class
Ndivyo walivyomnadi mkuu! Siyo mimi,wanasema Mwigulu ni 1st class economist! Sasa hivi yuko iramba anachuma matogolwa
Nimekuelewa ndugu yangu, ila angekuwa 1st class Economist angekuwa world bank au hata IMF au Morgan guaranty trust fund, ni pamba za kudesa tuu
 
Arusha ziko zaid ya 20 meku. Usisema eti ni chache.
Kuacha bereau de change za nje ...kila hoteli arusha inatoa huduma za kubadilisha fedha kwa wageni.
Kwa kuwa maduka yenyewe mjini Arusha ni machache, nadhani chini ya 20, kwa nini wasingeweka tu hao wanajeshi/polisi kwa zamu kuhakikisha wanatoa receipt kwa kila transaction? Baada ya mwezi mmoja tu watakuwa wameona hela inavyo flow na hivyo kuweka utaratibu sahihi zaidi
Mimi sio mchumi hivyo huo ni mtazamo wangu
 
Back
Top Bottom