James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Una uhakika? Mbona Godbless Lema anaukosoa utendaji wa serikali na kumwa-attack directly Magufuli, lakini bado yuko na hajashtakiwa kwa hayo? Unapata wapi uoga wa kudhani ukiikosoa serikali utashtakiwa?
Lakini pia unaweza kupata wasiwasi ukiona waandishi wa habari wanapotea, wanasiasa wanapigwa risasi n.k.