Arusha: Madiwani waliotimuliwa na CHADEMA wabwagwa mahakamani!

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Ile kesi iliyokua inawakabili wale madiwani watano Arusha hatimaye hukumu imeshatekelezwa na wameshindwa na sasa uchaguzi wa madiwani Arusha utarudiwa tena!

Souce Mahakama kuu Arusha.
 
ukweli unaweza kukaa hata miaka 100,000++ (zaidi ya laki moja) lakini huwa haubadiliki kuwa uongo! Kwa umri wake sidhani kama atakuwa na la kujifunza lakini vizazi vijavyo vitajifunza kitu hapa.
Aibu yake Mkuchika!
Huwa napenda sana wimbo huu kila ninapousikia, hizi ni baadhi ya haya chache.
Wind of Change
….
…..
The world is closing in
Did you ever think
That we could be so close, like brothers
The future's in the air
Can feel it everywhere
Blowing with the wind of change

Take me to the magic of the moment
On a glory night
Where the children of tomorrow dream away
In the wind of change
…
…
The wind of change
Blows straight into the face of time
Like a storm wind that will ring the freedom bell
For peace of mind
Let your balalaika sing
What my guitar wants to say
…….
……
 
Ni kweli wale madiwani kama uamuzi ulikuwa na shinikizo basi watalia sana, maana mahakama imepigilia msumari kuwa kama wanataka wakate rufaa kwenye CC ya chama na si mahakamanio tena. Mimi nitoe pongezi kwa hakimu kupractice weledi wake badala ya kuburuzwa! Hiyo ni changamoto kwa hao madiwani kuwa hakuna aliye maarufu kuliko chama. Chama ndiyo kimewafikisha hapo, hivyo hawakutakiwa kubweteka na kuitunishia misuli CC.
Ngoja tuone Mkuchika naye atasemjae baada ya hukumu hiyo.
 
Aibu wote waliokuwa wanawapa support akiwemo PINDA!Bravo Chadema,kuweni mfano daima wa vitendo na sio maneno
 
Kama habari hii ni ya kweli basi si Mkuchika pekee aliyeumbuka bali muumbukaji mkuu ni PM.
Pinda ndio wakwanza kutoa ushauri kuwa waende Mahakamani wakati anajua fika kufukuzwa Chamani kuna vyombo ndani ya chama vya kusikiliza rufani na sio mahakama.
 
Aibu ya Pinda aliewashauri waende huko! Bado Shibuda. Naanza kuwa na iman na mahakama safi kawa wazee! Chama cha magamba kisiwaendesh endeshe!
 
Chadema Arusha wakiongozwa na Godbless Lema wana mikakati ya kuweka mawakili wazuri na kushinda Kesi. ccm Igunga akina Machemba mwagalu wanafanya mapenzi na wake za watu. kazi kweli.
 
Wapi zitto igunga? Au yeye ni mgeni rasmi wa kwenda kufunga mkutano kwa kuwa yeye ni mkubwa kuliko Mbowe na Slaa? Kwa sasa yuko Busy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…