Arusha: Madiwani waliotimuliwa na CHADEMA wabwagwa mahakamani!

Nadhani wengi wetu hatujui teminologies zinazotumiwa kimahakama na hata kwa madaktari.....issue iliyotolewa maamuzi leo mahakami wamekiri kuwa kesi hiyo haiwezi sikilizwa kwenye hiyo court...so wanauhuru wa kuendelea kwenye ngazi ya juu zaidi...nilikuwepo mahakamani na huyo hakimu inaelekea kwa taarifa zilizopo kapewa mil 8 kupindisha sheria...mwisho wa siku itajulikana tuu...tuwe makini sana kwenye kushabikia mambo tusiyoyajua maana mwisho wa siku yawezo kuwa ndivyo sivyo.....hiyo kesi sio kana kwamba imetupiliwa mbali maana kwa kiingereza summary dismisal bali pale sio pahali pake...so guys there is still a long way to go....
Mkuu, these people kwa nini wasiende CCmagamba wakapewe ukuu wa Wilaya? wanang'ang'ania nini wakati mabadiliko siyo terminology yao?
 
Ni kweli wale madiwani kama uamuzi ulikuwa na shinikizo basi watalia sana, maana mahakama imepigilia msumari kuwa kama wanataka wakate rufaa kwenye CC ya chama na si mahakamanio tena. Mimi nitoe pongezi kwa hakimu kupractice weledi wake badala ya kuburuzwa! Hiyo ni changamoto kwa hao madiwani kuwa hakuna aliye maarufu kuliko chama. Chama ndiyo kimewafikisha hapo, hivyo hawakutakiwa kubweteka na kuitunishia misuli CC.
Ngoja tuone Mkuchika naye atasemjae baada ya hukumu hiyo.

Haya ndio madhara ya tamaa, magamba wamewatumia kama ped vile! What next? Anyway sijasikia ajira mpya za makatibu kata labda magamba watawakumbukia huko teh the teh! Waendelee tu kuwa karibu na mkuchika naamini atawaweka kwenye rizevu ya ajira mpya za makatibu kataz
 
Bravo chadema bravo weledi wa hakimu uliotumika na pongezi kwa Ex-madiwani kwani huwezi kushindana na mvua ikiamua kunyesha inanyesha tu no matter what
 
Back
Top Bottom