da nimefikiria mbali sana sikutegemea kama kuna siku lema , atakuja kukaa meza moja na lowasa
Kwenye siasa hakuna adui wa kudumuHapo lowasa anaenda kuhakiki kuwa kweli mbaya wake Lema yuko KIsongo.Kimoyo moyo LOwasa atakuwa anachekelea sababu ni Lema ni mmojapo wa waliomnanga sana bado hawa wengine kwenye hilo kundi
![]()
Labda watatafuta suluhu na kumaliza tofauti zao, yaani kati ya Lema na fisadi Lowasa!
Jaribu kutumia ubongo kidogo . Hivi leo Messi akihama kutoka Barcelona na kuja Real Madrid akawa anafunga magoli tusimshangalie.?
Haki na demokrasia. Say No To DictatorshipKwahiyo huko CDM mnapigania nini hasa?
Kama Putin alivyofunga Goli kwa kutolipiza kufukuzwa maofisa wake.Kama ingekuwa ni MIMI ningempigia simu DPP na kumwambia aweke NOLLE PROSEQUI/Serikali haina haja ya kuendelea na kesi hii.
Hapo ANGEZIMA UKAWA!
Si kwamba LEMA hajakosa bali Magufuli angekuwa amecheza KARATA ya kisiasa kubwa sana na FAIDA kwa upande wake.
Maana the more LEMA anahangaika kupata DHAMANA, ndivyo Magufuli ANAVYOUJENGA na kuupa NGUVU upinzani.
Wazungu walimfunga Mandela ili kumnyamazisha kwa miaka 27.
Ilibidi De Klerk amsamehe na kusema aruhusiwe kugombea URAIS na hatimaye akawa RAIS.
NGUVU na VITISHO havisaidii. bali ni UJANJA na HEKIMA za kisiasa ambazo ni LAZIMA Magufuli ajue kuzicheza!
Kubalansi kati ya USOMI, UTAWALA, Na more importantly kuwa MWANASISASA mjanja.
Kiasi kuwa unaweza kufanya kazi hata na yule aliyekuwa anakuombea mabaya.
Nchi ya jirani zetu. Moi wa Kenya alimfunga Odinga mara nyingi sana akijaribu kumnyamazisha.Lakini Haikumsaidia mpaka ilibidi Moi kuwa mwana siasa MWELEVU na MJANJA.
Akamwingiza katika chama chake cha KANU na kumfanya kuwa katibu mkuu.NCHI IKATULIA KIASI.
HUO NDO UJANJA wa KISIASA.
KUTUMIA NGUVU na mamlaka na vyombo vya dola mara nyingi HAKULIPI bali huzaa REBELLION/UASI na political tensions ambazo HAZINA maana na impact zake ni kubwa sana kitaifa!
Kwanza CV yetu kama taifa na ya RAIS kimataifa INAHARIBIKA sana!!!
Rais Magufuli AKIMSAMEHE Lema hatakuwa AMEPOTEZA chochote bali atakuwa amewafunga wapinzani MAGOLI.
Hata hivyo akili ni nywele kila mtu ana zake!
Huo ndo UJANJA na WELEVU wa KISIASA. Maana Putin alijua AMEWEKEWA MTEGO na Obama ili AKASIRIKE na ALIPIZE KISASI.Kama Putin alivyofunga Goli kwa kutolipiza kufukuzwa maofisa wake.
Haisaidii kutafuta kiki ya Kisiasa kwa muhalifu Lema! Hata angefanyaje Lowassa haibuki tena Kisiasa! He is completely and politically finished!!!
Haki na demokrasia. Say No To Dictatorship
Labda uulizwe wewe kuwa asingekatwa ungekuwa unanuandama hivi?
Mimi sizungumzii jamaa yetu ama siyo yetu.
Nazungumzia UJANJA wa kisiasa . Kama ungekuwa unajua POLITICAL SCIENCE ungenielewa
Lakini kama wewe ni shabiki tu.
HUTANIELEWA!
Ndo tushakubali sasa,we vipi?Wanataka kutuongoza kama wanyaruanda watanzania hatuwezi kukubali
Mwakyembe kasema hamna kesi za mafisadi kwahiyo mahakama haina kazi.Ufisadi siku hizi vipi umeisha?