Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,489
- 2,399
Kama ni yeye, ina maana huyu alikuwa zaidi ya mamlaka iliyomteua kwa sababu alikuwa juu ya katiba. Namlinganisha na Kim (Kiduku) na hana tofauti kabisa kama ni yeye kwenye hii video.
Unajua maumivu aliyo mwachia huyo jamaa ni makali sana. Mtu mzima kuchapwa nanma hiyo ni kumdhalilisha na pia inaweza pelekea mtu akajiua.
Unajua maumivu aliyo mwachia huyo jamaa ni makali sana. Mtu mzima kuchapwa nanma hiyo ni kumdhalilisha na pia inaweza pelekea mtu akajiua.