Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Endulen ni umasaini ndani ngorongoro, inawezekana kijana hakufanikiwa kupata elimu ya kutosha!
Haha Lusinde ni kichaa nilikuwa sija iskiliza hii video........
Baada ya Baraza la Vijana lililomaliza leo Mkoani Arusha Vijana waliungana pamoja kwenda Narok kwa ajili ya kushangilia na kufarahia maazimio yao.
Vijana hao wakiwa ndani ya Sare zao wakionesha kuwa na furaha, nguvu na mapenzi mema kwa Chama walianza kushangilia huku wengine ambao ni waimbani wakiimba nyimbo mbali mbali pamoja na Band ambayo hutumbuiza Narok.
Hali hii ilifanya baadhi ya Vijana wa CDM waliokuwepo hapa kuanza kutafakari na kutafuta cha kufanya baada ya kuona wamezidiwa. Kama kawaida yao walianza kelele na matusi. A kunyanyua tuvidole vyao juu hali iliyowafanya vijana wa CCM kutibuka na kuanza kuimba CCM! CCM! CCM! CCM! CCM........
Hali hii iliendelea kwa muda na baada ya CDM kuona wamezidiwa nguvu walianza matusi ila kama kawaida yao na kutokana na ukongwe wao Vijana wa CCM waliaapuuzia wakiwashauri warudi wakakomezwe kisiasa ili walje delea na matusi.
Hali ilianza kuonekana kuwa mbaya baada ya wana CDM kuanza kutaka kuzusha ugomvi jambo lililomfanya mmoja kati ya wateja wenye mapenzi mema na amani kupiga risasi tatu juu na hapo ndipo wanaCDM walipoondoka kwa aibu huku Vijana wa CCM wakiendelea na burudani kali........
CDM sasa anzeni kuaga.......
baada ya baraza la vijana lililomaliza leo mkoani arusha vijana waliungana pamoja kwenda narok kwa ajili ya kushangilia na kufarahia maazimio yao.
Vijana hao wakiwa ndani ya sare zao wakionesha kuwa na furaha, nguvu na mapenzi mema kwa chama walianza kushangilia huku wengine ambao ni waimbani wakiimba nyimbo mbali mbali pamoja na band ambayo hutumbuiza narok.
Hali hii ilifanya baadhi ya vijana wa cdm waliokuwepo hapa kuanza kutafakari na kutafuta cha kufanya baada ya kuona wamezidiwa. Kama kawaida yao walianza kelele na matusi. A kunyanyua tuvidole vyao juu hali iliyowafanya vijana wa ccm kutibuka na kuanza kuimba ccm! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm........
Hali hii iliendelea kwa muda na baada ya cdm kuona wamezidiwa nguvu walianza matusi ila kama kawaida yao na kutokana na ukongwe wao vijana wa ccm waliaapuuzia wakiwashauri warudi wakakomezwe kisiasa ili walje delea na matusi.
Hali ilianza kuonekana kuwa mbaya baada ya wana cdm kuanza kutaka kuzusha ugomvi jambo lililomfanya mmoja kati ya wateja wenye mapenzi mema na amani kupiga risasi tatu juu na hapo ndipo wanacdm walipoondoka kwa aibu huku vijana wa ccm wakiendelea na burudani kali........
Cdm sasa anzeni kuaga........
baada ya baraza la vijana lililomaliza leo mkoani arusha vijana waliungana pamoja kwenda narok kwa ajili ya kushangilia na kufarahia maazimio yao.
Vijana hao wakiwa ndani ya sare zao wakionesha kuwa na furaha, nguvu na mapenzi mema kwa chama walianza kushangilia huku wengine ambao ni waimbani wakiimba nyimbo mbali mbali pamoja na band ambayo hutumbuiza narok.
Hali hii ilifanya baadhi ya vijana wa cdm waliokuwepo hapa kuanza kutafakari na kutafuta cha kufanya baada ya kuona wamezidiwa. Kama kawaida yao walianza kelele na matusi. A kunyanyua tuvidole vyao juu hali iliyowafanya vijana wa ccm kutibuka na kuanza kuimba ccm! Ccm! Ccm! Ccm! Ccm........
Hali hii iliendelea kwa muda na baada ya cdm kuona wamezidiwa nguvu walianza matusi ila kama kawaida yao na kutokana na ukongwe wao vijana wa ccm waliaapuuzia wakiwashauri warudi wakakomezwe kisiasa ili walje delea na matusi.
Hali ilianza kuonekana kuwa mbaya baada ya wana cdm kuanza kutaka kuzusha ugomvi jambo lililomfanya mmoja kati ya wateja wenye mapenzi mema na amani kupiga risasi tatu juu na hapo ndipo wanacdm walipoondoka kwa aibu huku vijana wa ccm wakiendelea na burudani kali........
Cdm sasa anzeni kuaga.......
Toa taarifa ya kueleweka! Hicho chama ulichotaja kwenye paragrafu ya 1 & 2 ni kipi? Fanya wewe hukai hapa Arusha ni msomaji tu, soma thread yako yote uangalie kama ungeelewa. Narok kwa asiyejua ni bar atadhani ni sehemu fulani KENYA. Anza upya plz!.........
Dah! Amenishtua!! Eti arusha kwatibuka!! Kumbe unafki tu! Lione kwanza,,!.
hii haipo, haijatokea na wala usiitegemee arusha. Ccm mnalijua hilo na ndio maana mtoa thread umetumwa kupima upepo.
Baada ya Baraza la Vijana lililomaliza leo Mkoani Arusha Vijana waliungana pamoja kwenda Narok kwa ajili ya kushangilia na kufarahia maazimio yao.
Vijana hao wakiwa ndani ya Sare zao wakionesha kuwa na furaha, nguvu na mapenzi mema kwa Chama walianza kushangilia huku wengine ambao ni waimbani wakiimba nyimbo mbali mbali pamoja na Band ambayo hutumbuiza Narok.
Hali hii ilifanya baadhi ya Vijana wa CDM waliokuwepo hapa kuanza kutafakari na kutafuta cha kufanya baada ya kuona wamezidiwa. Kama kawaida yao walianza kelele na matusi. A kunyanyua tuvidole vyao juu hali iliyowafanya vijana wa CCM kutibuka na kuanza kuimba CCM! CCM! CCM! CCM! CCM........
Hali hii iliendelea kwa muda na baada ya CDM kuona wamezidiwa nguvu walianza matusi ila kama kawaida yao na kutokana na ukongwe wao Vijana wa CCM waliaapuuzia wakiwashauri warudi wakakomezwe kisiasa ili walje delea na matusi.
Hali ilianza kuonekana kuwa mbaya baada ya wana CDM kuanza kutaka kuzusha ugomvi jambo lililomfanya mmoja kati ya wateja wenye mapenzi mema na amani kupiga risasi tatu juu na hapo ndipo wanaCDM walipoondoka kwa aibu huku Vijana wa CCM wakiendelea na burudani kali........
CDM sasa anzeni kuaga......