Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.
===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2
===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,
===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,Sema ana njaa kwelikweli
Watoto wa wenyeviti wa ccm wanapewa bila shida yoyote,na wao ndiyo wanaopewa mamlaka ya kuchagua nani apewe na nani asipewe,ila kipaumbele cha kwanza ni uwe ndani ya jumuiya mojawapo ya ccm,ama uvccm,au jumuiya ya wanawake wa ccm,na ukiwa green guard unaweza kupewa kwa urahisi kabisa na bila masharti mengi, hio fursa huwa zinatangazwa kwenye vikao vya ndani vya chama,mimi ni mzoefu na nimewahi kupata mkopo huo kwa mgongo wa uvccm/greenguard!! Ila ukijulikana una vinasaba vya upinzani(hasa chadema) hiyo mikopo utaishia kuisoma huku JFWahenga walisema ukitaka kuonja utamu ngoma ingia ucheze, sasa nikuulize wewe kama wewe umewahi kwenda kukopa hizo fedha na ukapewa bila longolongo yoyote? Usiseme nimeona wanapewa nimekuuliza wewe.
VIVA TANZANIA===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.
===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2
===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,
===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
HakikaMiradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%
Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,
Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
Kaziindelee Arusha,===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.
===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2
===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,
===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Hizi ID tatu ni za huyo jamaa,Jabali la Siasa ,Jesusie na hiyo CM 1774858 !Chawa hujambo ?
Hizi ID tatu ni za huyo jamaa,Jabali la Siasa ,Jesusie na hiyo CM 1774858 !
Kazi yake ni kufufua nyuzi tu kuondoa upepo wa Sasa! Ukiziona hizo nyuzi pita t
Inakuzuia kutengeneza ID nyingine?Punguza ujinga, Mimi niko hapa kabla ya yoyote humu
Sasa kama insue ni "ID" nawewe fungua 100 mkuu ili umzidi CM 1774858 kwa hojaInakuzuia kutengeneza ID nyingine?
Mnagawana hela za msaada wa covid sio.===
Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,
===
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima alimfurahisha sana Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa TZS1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka.
===
Nakwamantiki hiyo kama robo ya mwaka ni TZS 1.37BL kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa Jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,
===
Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,
===
Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2
===
Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.
===
Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni,
===
Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Sema ujizidi!Sasa kama insue ni "ID" nawewe fungua 100 mkuu ili umzidi CM 1774858 kwa hoja
Kulalamikia "ID" ni Ujinga nadhani, Wewe site tu kwenye hoja hata kama itaandikwa na MeloSema ujizidi!