Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 4,811
- 6,052
Tatizo la hii Habari ni ya upande MmojaTumevamiwa na jeshi LA polisi wakiwa wamefuatana na viongozi wa ccm wa kat ya elerai tukiwa ktk kikao cha ndani cha Chadema cha uchaguzi wa Chadema ni Msingi ktk mtaa wa Mamamusa, na hatimae kuondoka na Mwenyekiti wa setikali ya Mtaa huo kupitia Chadem Mh.Yasini Selemani (Mweju).Hivi ninavyo andika tupo Kituo kiku cha polisi Arusha tukisubiria hatim take kwani wamesha muweka Mahabusu.
Cha Kushangaza zaidi ni Katibu wa Ccm Kata ya Elerai (Banzi) kutishia kwamba atuma vijana wake wamkate Kate kwa mapanga katibu wa kata ya elerai Chadema, huku Polisi zaidi ya was 5 wakimangalia tu bila kumchukulia hatua mwana ccm huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app