leveroi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 374
- 321
Ebo..kumbe kutishia kumkata mtu mapanga ni jambo dogo sana hilo!!!... kumbe ndo maana hata kwa yule Mawazo hamkuona ni vibaya kufanya vile. NAONA KWA SASA TUNATAWALIWA NA WALA WATU.Acha kupanic, kuna mtu kakatwa mapanga? Hivi kwa hiyo ww hata ukipingana na mtu tu unakimbia mtandaoni..? JF these days imekuwa kama dampo la chadema, yaani issue ndogo tu keleleeee sijui mapangaa sijui nn? Hv unajua unachovukisha humu kwa speed hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app