Neutral Man ZT
JF-Expert Member
- Sep 5, 2025
- 369
- 656
Wanachoweza ni hiki eti na kulinda mipaka huku ndani wezi, ufisadi, watu kutekwa kumeoza,.mnalinda nini?Wanajeshi wanafanya doria kila mahala
Mserani kuna beria wananchi wanakaguliwa vitambulisho na wanajeshi waliobeba Ak 47
Wanajenshi ndio wanaongoza magari kama askari wa barabarani wapo likizo.
Goma au Kisangani na Bukavu
Mnatakiwa mlinde kikamilifu