Ahahahaha! Arusha wameishaisha wachimba madini wamebaki wafanya shughuli zingine.Vijana wengi wa mjini kipato Chao Kinatokana na madini, wengine huchimba, wengine huuza na kununua nk. Nk
Kwenye hiyo plan yako wauza nyanya, mitumba machenga na used spare parts wanakaa wapi mbona hatuwaoni?
Itabidi wapambane na hali zao.Kwenye hiyo plan yako wauza nyanya, mitumba machenga na used spare parts wanakaa wapi mbona hatuwaoni?
Wengi washanyoa mkuu, wapo na vipilipili vyao tu.Marasta kwisha habari yao
Sasa tunakwenda sawa. Wajipe likizo Kama miaka miwili. Twendeni tukalimeWengi washanyoa mkuu, wapo na vipilipili vyao tu.
corona baba, tuwe wavumilivu hali ikitengemaa pesa za wazungu zitarudi kwa kishindorusha ni mji uliojaa wazungu kila Kona utafikiri tupo South Africa 🌍 na tushazoea kufanya biashara au mazungumzo ya hapa na pale na hawa wadoshi wakiwa hapa jijini.
Na wazungu wengi wao wamewekeza sana hapa. Asilimia kubwa sana ya wana Arusha pato Lao kubwa achia mbali madini la pili ni utalii.
Lakini kwa sasa hali ni tofauti kabisa urafikiri tupo singida au wap sijui hatuoni wazungu kabisa kabisa hata Ile migahawa wazungu hukaa hamna mtu mweupe hata kidogo.
Hotel, migahawa, na kule vinyagago na sehemu zote wazungu wanapopendelea kutembea au kukaa hamna kabisa watu weupe.
Makampuni mengi, migahawa, maduka na hata masoko wengi tunategemea utalii, sahiv kila mtu analia.
Daa!? Mpaka mangi amesema hivi? Kwa kweli mambo sasa yamebadilika.Mkuu Laki Si Pesa ...inabidi ubadilishe hiyo Id.
Kwa usawa huu ni pesa aisee! Tena pesa ya nguvu.
Hata maofisini, hela ya chai imefutwa. Kunywa chai kwa mkeo!Aisee ni kweli Chuga kumebalika sana! Saiv ata minadani hakuna pesa kabisa hasa kwa sisi wasaka tonge. Zaman tulizoea kuwauzia wanachuo lkn vyuo vyote vimefungwa!
Haya kuna watu walikuwa wanapanda milima kama Meru na Kilimanjaro wakirudi life linakuwa vzr lkn saiv hakuna hiyo kazi tena. Aisee asikwambie mtu cc tulikuja kusaka maisha hapa tunalia sana wakati mwingine ata pesa ya pango tunakoswa
Naona atleast kunachanganya japo mwendo wa kobe ila tutafikaMkuu sahiv wana chuga wale wa kisoro Soro hamna tena, kila mtu ameweka adabu mfukoni.
We msukuma tulia nenda shamban kalimekwaiyo mnawalilia wazungu ama?