funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,484
Wale mabilionea wenu wameishia wapi hawawezi kuokoa jahazi
Wanyama wawindwaji na binadamu kwenye vitalu vya uwindaji wanashangliia hii hali.
Wanyama mbugani na kwenye hifadhi kama Serengeti, Norongoro na Manyara wanapumzika kelele za magari ya binadamu.
Wanyama wengi aka akina faru nanii wanapata huduma ya kuijaza dunia kwa faragha bila chabo za makamera.
Wanyama wawindaji wanakamata mawindo yao kirahisi bila waindo yao kushitushwa na magari ya wapiga picha.
Asili inachukua nafasi yake kurudisha mamisha katika uwiano wa kiasili.
Heb fafanua mkuu. Ma rasta wanaolewaje. Au wanaoaArusha inafahamika kwa marasta kuolewa na wazungu. Bora kwa sasa mtatulia.
Vibibi vya kuoa au vibabu vya kuwaoa?Marasta hoi wamekosa vibibi vya kizungu. Nakumbuka vijana walikuwa wanabebeshwa ndizi kutwa nzima
Vijana wetu waliharibika kimaadili.Arusha inafahamika kwa marasta kuolewa na wazungu. Bora kwa sasa mtatulia.
Mzee ni shida kuna siku nimekutana na vibibi viwili vya kizungu kila kimoja na mvulana wa kimasai atm pale crdb friends cornerMarasta hoi wamekosa vibibi vya kizungu. Nakumbuka vijana walikuwa wanabebeshwa ndizi kutwa nzima
Hao jamaa wana tamaa na Dolari. Kuna jamaa dereva tuazi alishoboka na wajerumani flan walipokua porini wakamuomba mambo akakataa. Sasa waliporud kwao wakamtumia tiket. Jamaa akaona Hawa ndio watu wa maana.Mzee ni shida kuna siku nimekutana na vibibi viwili vya kizungu kila kimoja na mvulana wa kimasai atm pale crdb friends corner
Wajeruman asili yao ni ukatili,Hao jamaa wana tamaa na Dolari. Kuna jamaa dereva tuazi alishoboka na wajerumani flan walipokua porini wakamuomba mambo akakataa. Sasa waliporud kwao wakamtumia tiket. Aisee jamaa kushuka tu airport breki ya Kwanza nyumbani maeneo ya mashambani hukoo. Kakoma, kaacha na Mambo ya utalii, anaugulia Bashnet hukoo.
Wajeruman asili yao ni ukatili,
Asilimia kubwa ya vijana wa hapa wanatoka na wamarekani, wa Norway., Canada nk.
Madereva tours na wenyewe wapo wamesanda, matrip yale ya huku na huku hamna,. Maflycarture wale wamebadilisha muondoko sahiv wanapiga Kazi masokoni nk.
😂😂😂 Babantilie, haaa haaaa zamani wanaume walikuwa hawapiki lakin siku hizi ndio wapishi wazuriKuna wale madly wengine wamejiongeza wanapika babantilie pale karibu na back peckers. Chakula kitamu balaaa, buku kwa buku jero unakula unashiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa na biashara kule vinyago nilifunga mwezi wa pili bila hivo ningejutraa.
Biashara nyingi za hapa kama vile migahawa, hoteli, hadi watu wa sokoni wanategemea sana watalii kuingiza kipato.
Leo kila mutu iko Lia
Yan Arusha sahiv hapafai