Arusha imebadilika kabisa

Arusha imebadilika kabisa

Aisee ni kweli Chuga kumebalika sana! Saiv ata minadani hakuna pesa kabisa hasa kwa sisi wasaka tonge. Zaman tulizoea kuwauzia wanachuo lkn vyuo vyote vimefungwa!

Haya kuna watu walikuwa wanapanda milima kama Meru na Kilimanjaro wakirudi life linakuwa vzr lkn saiv hakuna hiyo kazi tena. Aisee asikwambie mtu cc tulikuja kusaka maisha hapa tunalia sana wakati mwingine ata pesa ya pango tunakoswa
 
Back
Top Bottom