Arusha I salute you!


Hahaha
u make make my day
 
Dar harufu mbaya utadhani Watu hushindana kujamb...
 
Arusha ni mji mzuri sana ila maji yanaharibu uzuri wa watu wake.
 
Chuga ndio home mkuu, ila nimelowea huku kwa wazaramo, i alway's miss home mkuu....hakuna mahali bora chini ya hii dunia kama chuga...wanapaharibu kwa maandamano
 
Atown ndio mpango mzima hali ya hewa murua, mbna gym ziko nyingi tu nzuri ukija let mi know
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…