Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,765
- 50,855
Hii haijasikikaInawezekana video ya kitambo lkn juzi familia imepotea kwa mtindo huo walikua na gari aina ya Noah..Uliskia hii!?
Hii haijasikikaInawezekana video ya kitambo lkn juzi familia imepotea kwa mtindo huo walikua na gari aina ya Noah..Uliskia hii!?
Noah iliwabeba wanafamilia watano kati yao kulikua na mwanafunzi wa shule ya iliboru iliyopo moshi...Hajatoka mtu unaambiwa wote ni marehemu kwa sasa😢😢😢Hii haijasikika
Sad newsNoah iliwabeba wanafamilia watano kati yao kulikua na mwanafunzi wa shule ya iliboru iliyopo moshi...Hajatoka mtu unaambiwa wote ni marehemu kwa sasa😢😢😢
ap hiyo nilijisikia mkuuInawezekana video ya kitambo lkn juzi familia imepotea kwa mtindo huo walikua na gari aina ya Noah..Uliskia hii!?
😂😂😂😂😂Ile Iphone 11 niliyokununulia umeuza d?
Nimedect Hilo pia mkuuUnadanganywa, video ya kitambo sana na sio Arusha
Hadi wale walionusurika wamekwenda!!!😳😳😳Noah iliwabeba wanafamilia watano kati yao kulikua na mwanafunzi wa shule ya iliboru iliyopo moshi...Hajatoka mtu unaambiwa wote ni marehemu kwa sasa😢😢😢
Ai unajuaga kesi aiogopi wakili wangu yupo?😂😂😂😂😂
Kwanza una kesi then unaongeza nyingine🙆🙆🙆🙆
Mbona tuliambiwa wanneNoah iliwabeba wanafamilia watano kati yao kulikua na mwanafunzi wa shule ya iliboru iliyopo moshi...Hajatoka mtu unaambiwa wote ni marehemu kwa sasa😢😢😢