Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Aliyekuwa Diwani wa CHADEMA Kata ya Leguruki aitwaye Anderson E. Sikawa kabla hajahamia CCM kwa mbwembwe nyingi na matangazo ya kumuunga Magufuli mkono huko Arumeru, amepatwa na janga la kuunguliwa nyumba yake anayoishi na vitu vyake vyote vimeungulia ndani.
Hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikani kabisa, japo wengi wanasema ni mshahara wa dhambi zake za usaliti.
Hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikani kabisa, japo wengi wanasema ni mshahara wa dhambi zake za usaliti.