Arusha: Chadema yaendelea kuitesa CCM Sombetini

Arusha: Chadema yaendelea kuitesa CCM Sombetini

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Huku chama cha majambazi kikifanya kikao cha sendoff, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Sombetini wameendelea kuiadhibu ccm bila huruma kwa kufanya mikutano miwili na wanampango wa kufanya mikutano mitano mpaka hata hicho kikao cha sendoff kikose wajumbe.
DSC_0021.JPG
Umati kama huu ambao kwa chadema ni wa kawaida sana lakini kwao lazima watoe pesa kwa madereva bodaboda, mabalozi wao wilaya nziba lazima wafike kuokoa jahazi...
DSC_0038.JPG Diwani wa kata ya Sombetini Kamanda Ally Bananga akiwa na Kamanda Lema.
DSC_0044.JPG
Jessica Kishoa kiboko ya Mwigulu nchemba
DSC_0063.JPG
Ally Bananga diwani wa Sombetini anayesubiri kuapishwa akiwa na Kamanda Doric na Jessica(Kiboko ya Gaidi Nchemba)...
 
Nawambieni ya kwamba mafisadi hawana lao A town!

Wanasikilizia upepo tu! ------- zao!
 
Hongereni A town. Kabeni mpakaa pelnat, hao magamba mpaka wakomme
 
Hivi Ccm bado hawajaanza kampeni arusha? Ama kweli miaka inabadilika
 
chama cha chukua chako mapema hakina jipya wamshukuru nyerere aliwatengenezea misingi ya chama na kwasasa hakuna wa kusimamia chama wamebak magamba ,hawana jipya
 
CHADEMA ndiyo habari ya mjini......

CCM salini tu sala za mwisho!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mwenyezi Mungu awalinde maana magaidi ccm wanaweza panga tena kulipua bomu bado wanakumbuka 4bila majibu
 
tunataka kutokomeza hata hivyo vikao vya sendoff..
 
Na bado ccm arusha hawana chao!! Subir kura sasa chadema tutashinda kwa kura nying mno
 
nawashauri waache watangaze kutogombea,

NB. NAOMBA MTULETEE PICHA ZA WAPINZANI WETU
 
Naona ''gule'' Kamanda Kishoa ameenda kuongezwa ujasiri huko HQ ya ukombozi
 
M4C - OPD Ndio Talk of the Town (Habari ya Mujini) Jamani Arachuga Mbona hamna huruma na Magamba kwa kiasi kikubwa hivyo
 
Bangi inawasumbua hawa watu maana huku Arusha lema alali tena nyumbani analala nairobi shine gest house baada ya wanasombetini kumgomea

Akipanda jukwaani hana hoja tena zaidi ya kusema uongo kuwa mwenyekiti wa ccm anakatakata watu hooo mgombea marra mjusi ila zamuhii hatoki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom