Arusha: Chadema yaendelea kuitesa CCM Sombetini

Arusha: Chadema yaendelea kuitesa CCM Sombetini

nashukuru katiba mpya inafuta hizi chaguzi ndogo maana ni upotevu wa gharama na muda
 
Hongereni A town. Kabeni mpakaa pelnat, hao magamba mpaka wakomme

Siyo kukaba penalt tu, awamu hii tunakaba hadi watazamaji ambao wamekuja kuangalia mpira ha ha ha ha CDM is leading wengine wanajikongoja.
 
Hali ni mbaya kwa chadema kazi ni kukatakata watu
 
Bangi inawasumbua hawa watu maana huku Arusha lema alali tena nyumbani analala nairobi shine gest house baada ya wanasombetini kumgomea

Akipanda jukwaani hana hoja tena zaidi ya kusema uongo kuwa mwenyekiti wa ccm anakatakata watu hooo mgombea marra mjusi ila zamuhii hatoki

Hata unacho ongea hakieleweki!

Nenda maliwato kajiswafi then relax;baadae tuandikie ukiwa na udhu bibie!
 
Cha kusikitisha zaidi Nape na Kinana hawatii Timu bado wanatafakari walivyodhalilishwa na Mkulu.
 
hivi ccm haina washauri ? Kwanini imesimamisha mgombea mahali ambapo itavuna aibu kubwa sana ? Ushauri wangu kwa ccm ni kwamba muda bado mnao , JITOENI SASA KUJIEPUSHA NA FEDHEHA , JAMANI HERI LAWAMA KULIKO FEDHEHA .
 
Hali ni mbaya kwa chadema kazi ni kukatakata watu

tulikuwa tunalialia kama watoto wa kike tukiwalalamokia uhuni wa ccm, tuliandamana kwenda kituo kidogo cha bauda kuwaambia polisi wafanye kazi zao ipasavyo hawakutuelewa juzi yule ---- tumemfinya kidogo tu mnalialia, mbona bado tumeshaongeza kikosi vamieni tena ngome yetu kama hamtazika..
 
Wana arusha. Watz woooote macho na masikio yako kwenu, msituangushe yatieni adabu magamba yaweweseke zaidi.
 
tulikuwa tunalialia kama watoto wa kike tukiwalalamokia uhuni wa ccm, tuliandamana kwenda kituo kidogo cha bauda kuwaambia polisi wafanye kazi zao ipasavyo hawakutuelewa juzi yule ---- tumemfinya kidogo tu mnalialia, mbona bado tumeshaongeza kikosi vamieni tena ngome yetu kama hamtazika..

Yote hii inasababishwa na u-jobless wa kujitakia, Kijana umeshafikisha umri wa miaka 18, hutaki kujishughulisha na vitu vya kukuletea maendeleo, wewe kutwa kucha kiguu na njia kufuata mikumbo isiyo na faida kwako. Matokeo yake ndio haya unataka kumuua mtanzania mwenzio kisa ni itikadi za kisiasa. Hii CHADEMA imeharibu vijana wengi sana!
 
Bangi inawasumbua hawa watu maana huku Arusha lema alali tena nyumbani analala nairobi shine gest house baada ya wanasombetini kumgomea

Akipanda jukwaani hana hoja tena zaidi ya kusema uongo kuwa mwenyekiti wa ccm anakatakata watu hooo mgombea marra mjusi ila zamuhii hatoki
Umeolewa?
 
Yote hii inasababishwa na u-jobless wa kujitakia, Kijana umeshafikisha umri wa miaka 18, hutaki kujishughulisha na vitu vya kukuletea maendeleo, wewe kutwa kucha kiguu na njia kufuata mikumbo isiyo na faida kwako. Matokeo yake ndio haya unataka kumuua mtanzania mwenzio kisa ni itikadi za kisiasa. Hii CHADEMA imeharibu vijana wengi sana!

Waratibu wa mauaji mwigulu na nchimbi ni wa CHADEMA? Una kazi gani wewe? Au tukuanike?
 
Bangi inawasumbua hawa watu maana huku Arusha lema alali tena nyumbani analala nairobi shine gest house baada ya wanasombetini kumgomea

Akipanda jukwaani hana hoja tena zaidi ya kusema uongo kuwa mwenyekiti wa ccm anakatakata watu hooo mgombea marra mjusi ila zamuhii hatoki

4 bila za Lema nafahamu unazitambua vzr haiana haja ya kusumbuana na ww. Pia Tunasubiri ushaidi wa Lema ukisomwa na spika kuwa Mb Ole Midiya ni Janga kwa Taifa ana pandikiza ubaguzi wa kikabira na ule wa waziri mkuu ni muongo. Tunaomba majibu fasta mama Makinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom