Arumeru Magharibi kwachafuka...

Arumeru Magharibi kwachafuka...

Ni kweli Mkubwa...............ila nafikiri amekosa uwelewa tu wa mkutano wenyewe ya kwamba ni muhimu kwa jamii ama labda anajipanga.


Taarifa haijatulia, inahitaji support kubwa ya picha kuthibitisha machafuko hayo kwa magamba.
 
YAANI NAWASHANGAA NA WASOMI WANAVYOBURUZWA NA CDM WAKATI ASILIMIA 90 YA CDM NI FORM FOUR LIVER, KWA HIYO UKIKIMBILIA CDM NDIO UMELETA UADILIFU? hata tungewka vyama Mia WATANZANIA NI WALEWALE, CCM WAMEKIMBILIA CDM KWA HIYO SUMU YA UFIASDI IMEISHA? SLAA SI NAE ALIKUWA CCM MPAKA LEO ANANGANGANIA KADI HUKU ANASEMA CCM NI WEZI, NA KAMA LOWASSA NI FISADI MBOANA CDM WALIKUWA WANAMTAKA? IT IS A VISCIOUS CYCLE!
 
Imma , kichwa cha habari ulichotumia sio sahihi.
 
Umeandika Kama unafukuzwa.Ungemalizia na kuhema ingekaa vizuri zaidi
 
CCM puresha inapanda inashuka.... Walete walete 🙂

 
Last edited by a moderator:
Haya mkuu, mapicha vipi sana, au huna Digital Camera na una simu ya tochi?
 
Arumeru magharibi kwa chafuka! Me nilidhani ni mabomu ya machozi yana rindima kumbe ni ccm wanapewa kibano na chadema.ccm hoiiiiiii.
 
Ninachojua MFA maji haachi kutapatapa, Endeleen Kuji PLEASE!

na ndicho wanacho kifanya ccm.wamesha katwa kichwa lakini kichwa bado kinaimba kuwa chadema itakufa kabla ya mwaka mmoja kwisha.wakisahau kuwa huwezi kuendelea kuishi ukiwa umetenganishwa na kiwiliwili.
 
jamaani kuna yeyote anayeweza kutupa up date kwamba ni magamba mangapi yaliweza kutoka ccm na kuhamia chadema na kupokelewa na viongozi wa chama hicho?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom