Mchana huu nilitoka sakina nilikutana na magari yana bendera za Chadema sikujua yanaenda wapi kumbe yalikuwa yaenda Kiranyi.Mkutano ni hapa kata ya kiranyi jumbo la Arumeru Magharibi picha nitawarushia muda huu kiukweli huku ni maziko rasimi ya ccm
Wangemwita na Slaa na yeye arudishe kadi ya CCM.
[h=5] Arumeru Magharibi kwa chafuku Chadema wavamia ccm yataharuki niko hapa mkutanoni ni balaha WAtu ni wengi kama mnavyo juwa arumeru inaongozwa na magamba Leo wananchi wamejitokeza wanarudisha kadi na kukabidhiwa za CDM kiukweli Lema Joshua Nasary bado hawajawasili ila magamba yanavuliwa mbaya HAKUNA KULALA HADI WALALE WAO
[/h]http://www.facebook.com/groups/tanurulafikra/#
nape atakuja na uharo kama kawaida "hiyo ni oil chafu","malaya ni malaya hata kama akibadilisha vazi"
[h=5] Arumeru Magharibi kwa chafuku Chadema wavamia ccm yataharuki niko hapa mkutanoni ni balaha WAtu ni wengi kama mnavyo juwa arumeru inaongozwa na magamba Leo wananchi wamejitokeza wanarudisha kadi na kukabidhiwa za CDM kiukweli Lema Joshua Nasary bado hawajawasili ila magamba yanavuliwa mbaya HAKUNA KULALA HADI WALALE WAO
[/h]http://www.facebook.com/groups/tanurulafikra/#
Arumeru ipi hiyo mkutano unapofanyika mbona nimejaribu kuuliza wenyeji wa huku hawajui hii?