Nadhani ccm itakiona cha moto tar 1 kwani cc vijana pamo1 na wazee we2 2mejipanga kum2ma nassari bungeni. People's power.
hakuna wa kuizuia cdm arumeru.
Nadhani ccm itakiona cha moto tar 1 kwani cc vijana pamo1 na wazee we2 2mejipanga kum2ma nassari bungeni. People's power.
Cha msingi ni kuzidi kujipanga nawafahamu CCM.....Kwa kweli Mi cjaiona kabisa wa kuizuia MAGEUZI pale Arumeru!
Kwa ujumla raia wameichoka sisiem na mambo yake!
KAULI hii itakamilika.
HAKUNA LISILOWEZEKANA,MAGEUZI NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI.
Mageuzi ni leo wadau!
Huo utafiti wako umefanya na mmeo? na mmeufanyia kitandani....Kwa tarifayako kuna viongozi wa CCM wame ahidi kumpigia kura Nassari, hao ni viongozi na kuna sehemu ambako CCM ilikuwa na mizizi tumeshaing'oa.....kilicho baki ni kula ccm kura CDM...mnajua mnaongea bila utafiti madiwabi 23 kila mmoja amejipanga kuwa na wapiga kura 2500 unajua arumeru mashariki ina kata 17 zote ni za ccm na wabunge maalumu kwa nafasi zilizobaki lakini kuna vijiji 76 vyote ni vya ccm lakini baya utafiti uliofanywa na chadema na katibu mkuu wao amani golugwa anao vijana wengi hawamo katika daftari la wapiga kura na ndiyo wanaojaza mikutano yao na wengine kutoka arusha mjini,moshi,hai na karatu sasa hapo unashindia wapi ? ccm sasa wanatafuta ushindi unaofikia asiliami tisini.
Cha msingi ni kuzidi kujipanga nawafahamu CCM.....
Nadhani ccm itakiona cha moto tar 1 kwani cc vijana pamo1 na wazee we2 2mejipanga kum2ma nassari bungeni. People's power.