mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
mnajua mnaongea bila utafiti madiwabi 23 kila mmoja amejipanga kuwa na wapiga kura 2500 unajua arumeru mashariki ina kata 17 zote ni za ccm na wabunge maalumu kwa nafasi zilizobaki lakini kuna vijiji 76 vyote ni vya ccm lakini baya utafiti uliofanywa na chadema na katibu mkuu wao amani golugwa anao vijana wengi hawamo katika daftari la wapiga kura na ndiyo wanaojaza mikutano yao na wengine kutoka arusha mjini,moshi,hai na karatu sasa hapo unashindia wapi ? ccm sasa wanatafuta ushindi unaofikia asiliami tisini.
Wewe ndiye hujui nini kinachojiri. CCM imegawanyika vipande vitatu, ni kipande kimoja tu kimuunga mkono mgombea.
Halafu Siyoi mwenyewe hana kura na kama wana Chadema wanatoka Moshi, CCM ya Siyoi inatoka Monduli, ambako ni mbali zaidi!