Silinde aende Kingori, ule ni ukanda wa wameru wapole, Lema acheze kuanzia Tengeru kuelekea mlimani,ambureni hadi ulong'a,asogee na maeneo ya sing'isi (huu ni upande wa wameru wenye msimamo mkali) na Mnyika asonge maeneo ya Usariver na viunga vyake kuelekea mlimani pia na akave mpaka maji ya chai,.. kikatiti na viunga vyake sio mbaya mdee akapiga kambi akisaidiana na kina mama wengine....zito, Dr. Weapon na mbowe wakiwa na mgombea wafanye kuzunguka pote kuwapa sapoti makamanda. Msigwa asikosekane hadi makanisani jamaa wa pande hizo wako sensitive sana na watumishi wa bwana/kanisa
ila kwa ujumla Lema ni rais wa pande hizi...anakonga nyoyo za wengi mno huku huwezi amini,...unganisha doti utakapojikumbusha tamko la washili, ilikuwa ni hofu tosha kwa jinsi jamaa alivyo na ushawishi