Hapana, naamini kamnda ritz angefaa zaidi kwani Arumeru anaiwiwifahamu ilivyo na anaheshimiwa sana na wazee wa mila a.k.a washili.Lema godbless awe kiranja
atauza jimboHebu 2mpangie babu wa ujira wa mwia nae apate huo mwia.Mean shibuda
Nyerere akae pande za wazee na vibibi vilivyoaminishwa kuwa CCM ni chama cha Nyerere
shibuda ndani ya kampeni itapendeza
Maeneo yote yenye wajanja stendi, sokoni, aende Lema halafu washili na maamuma Dr anawahusu
shibuda ndani ya kampeni itapendeza