Arthur Mwakapugi Afariki Dunia

Arthur Mwakapugi Afariki Dunia

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
29,489
Reaction score
42,564
Wanajukwaa aliyekuwa katibu Mkuu nishati na madini ndugu Arthur Mwakapugi amefariki dunia.

Mungu ailaze roho yake pema tunamshukuru kwa upendo na kujitolea kwake kwa taifa hili...

R.I.P Mwakapugi
 
chanzo mbona haraka na ulete kwa kirefu habari kama hizi
 
Huyo Jamaa si ametajwa kesi ya Richmond kuwa alishiriki kuandaa mkataba? Kama kweli apepe Arthur.
 
Magamba yanapukutika......poleni Wafiwa

Yanapukutika sana siku hizi sijui laana! Haipiti wiki bila kusikia moja limepukutika! Ila kama Arthur ulifanya kazi zako kwa uaminifu basi RIP kaka. Lakini kama ulishirikiana na magamba kutuumiza wanyonge, basi na upate haki yako unayostahili huko.
 
Je maiti yake ipo hapa bongo au yale yale ya gavana wetu wa BOT.
 
Nasubiri baada ya uchaguzi 2015 baada ya chadema kupigwa chini nione watakuja na hoja gani maana wao kila kitu ni siasa tu.
 
Gamba limepepea... Huyu si ni miongoni mwa walioneemeka na Richmond.? mimi sina usemi ila apate haki yake stahili kwa mujibu wa sheria za mbinguni.!
 
Back
Top Bottom