Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Wakuu me ni mdau na mpenz mkubwa wa arsenal
Tulivyofungwa bao la pilli kiukwel nimevunja simu yangu, hasira hasara ndugu zangu wenye mapenzi na timu yetu kama mimi naombeni mnichangie ninunue ingine nilikua natumia Huawei Y 300
Tulivyofungwa bao la pilli kiukwel nimevunja simu yangu, hasira hasara ndugu zangu wenye mapenzi na timu yetu kama mimi naombeni mnichangie ninunue ingine nilikua natumia Huawei Y 300