Arteta alipokua Everton hizi free Kick alikua anafunga sana tu.... Ila sina kumbukumbu za kuwa kama keshawahi funga tangu alipojiunga nasi... Utadhani kabadili miguu bana....
Arteta alipokua Everton hizi free Kick alikua anafunga sana tu.... Ila sina kumbukumbu za kuwa kama keshawahi funga tangu alipojiunga nasi... Utadhani kabadili miguu bana....
Sunderland wana mzuka, na kelele za uwanjani ndio kabisa beki yetu inachanganyikiwa. Hapa tunaitaji kwenda kutuliza akili kwenye locker room. Hili tujenge confidence tena
Sunderland wana mzuka, na kelele za uwanjani ndio kabisa beki yetu inachanganyikiwa. Hapa tunaitaji kwenda kutuliza akili kwenye locker room. Hili tujenge confidence tena