Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatutegemei tombora kaka wala sadakarawe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

pole sana mkuu kama kawa naona vijana wangu wanafanya vizuri away kidogo wananitia moyo na home tunaenda kumkandamiza kijoti basi tunasonga mbele..
alamsiki wacha1...
 
acha tu ndugu usinikumbushe..

Hiyo 5000 ulioliwa ni heri ungenunua ufuta utafune na kuongeza Sukari mwilini.
Arsenal ni ushuzi sheikh, siku nyingine usithubutu hata kupenga kamasi then upande wa pili mtu aweke pesa.

Pole mwanakwetu
 
KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE




kuvaa jez zinazofanana na team ytu takatifu ya Yanga afu kufungwa ba zoote hizi....n udhalilishaji wa sie wana Yanga.....Bora mvae zile nyeusi.
 
Tukishindwa na hii FA Cup aka kombe la mbuzi,vs Cats tukalime magimbi tu.
 
Tukishindwa na hii FA Cup aka kombe la mbuzi,vs Cats tukalime magimbi tu.
Imagine mwaka jana hata emirates cup tulilikosa na mwaka huu wamesema hakuna hilo kombe so weekend hii tukitolewa basi tujaribu musimu ujao manake hata big four sina hakika kama tutaingia!!!!!
 
hayo mambo ya kocha wenu sisis hayatuhusu nyie wadau wakifika kwenu wanalamba wananyanyuka na point wanasepa...
Acha kukurupuka na kimbelembele cha Mwajuma mtoto wa Kiume.......Hii ni Thread maalum ambayo mashabiki wa Arsenal Tunaijadili timu yetu......Kumjadili kocha wetu ni sehemu ya lengo la kuanzisha Thread hii......



The Wenger Years - Overview

How the Frenchman revolutionised Arsenal on and off the pitch


Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea.


Ningekuwa mod ningekulamba Ban ya maisha wewe........

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!:coffee:
 
Vijana wanaingia uwanjani na Wojciech Szcesny kakosa namba ..... ...... Fabianski yupo golini .... .. ngoja tuone huu uwanja wa matope itakuwaje leo ... ..... ..
 
Tuko pamoja wakuu. Nawatakia kila la kheri , mechi itakuwa ngumu sema ushindi utapatikana.

Ngoja tuone combination ya Gervinho,Ox na RVp.
 
bado nina majeraha ya kutosha ila nimerudi tena Sijui kama ntajitonesha au La!!!!
 
Ohh the gunners tupo pamoja naona list ya k ombe la FA Sunder land Vs arsenal ni

SUNDERLAND: Mignolet, Bardsley, O'Shea, Turner, Richardson, Larsson, Gardner, Cattermole, Colback, McClean, Sessegnon.
Subs: Bridge, Campbell, Dong-won, Meyler, Kyrgiakos, Elmohamady, Westwood...

ARSENAL: Fabianski, Sagna, Djourou, Vermaelen, Coquelin, Arteta, Song, Ramsey, Oxlade-Chamberlain, Gervinho, Van Persie...
Subs: Rosicky, Szczesny, Walcott, Squillaci, Arshavin, Chamakh, Benayoun.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…